Waliolipua bomu kanisani sheria ichukue mkondo wake
MEI 5 mwaka huu kulitokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Imani, Dayosisi ya Mashariki Ziwa Victoria, mkoani Mwanza. Hakika tukio hilo ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Jun
Waliolipua bomu Zanzibar kunaswa
SERIKALI imesema ina uwezo wa kuwakamata wale wote waliohusika katika shambulizi la bomu, lililosababisha kifo na kujeruhi wengine saba mwishoni mwa wiki iliyopita, mjini Zanzibar.
11 years ago
Habarileo16 Jun
JK aagiza waliolipua bomu wasakwe
RAIS Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwafikisha mbele ya vyombo vya haki watu wote waliohusika katika ulipuaji bomu lililosababisha kifo na kujeruhi watu saba mjini Unguja, Zanzibar.
11 years ago
Habarileo18 Jun
Waliolipua bomu Z’bar kunaswa
SERIKALI imesema ina uwezo wa kuwakamata wale wote waliohusika katika shambulizi la bomu, lililosababisha kifo na kujeruhi wengine saba mwishoni mwa wiki iliyopita, mjini Zanzibar.
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Bomu lapatikana kanisani Kenya
11 years ago
Mwananchi07 May
Bomu lalipuka, lajeruhi kanisani
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WNhsl733Xs8/VIRmmI4fkdI/AAAAAAADQvE/OE46qMTHTUU/s72-c/Sijui%2Btena%2Bkama%2Bpatakuwa%2Bna%2Bkuchekeana%2Bkama%2Bhivi.jpg)
WATANZANIA TUNAOMBA HARAKA MKONDO WA SHERIA UFANYE KAZI ZAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-WNhsl733Xs8/VIRmmI4fkdI/AAAAAAADQvE/OE46qMTHTUU/s1600/Sijui%2Btena%2Bkama%2Bpatakuwa%2Bna%2Bkuchekeana%2Bkama%2Bhivi.jpg)
Ni mategemeo yetu watanzania wengi kuwa vigogo waliohusika kwa namna moja au nyingine katika sakata la fedha za Tageta Escrow kuwa wanajiuzulu nafasi zao
na mkondo wa sheria uwashughulikie haraka kwani hakuna aliye juu ya sheria watanzania wote tupo chini ya sheria.
Vigogo hawa wazito wanahusika kupokea mgao wa fedha za wavuja jasho wa nchi hii lazima washughulikiwe na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhPh-i6jd38FOGD2Sb1bWMbUTyNBDpyF2RNuABuOxQYq9Xqih0XgPciQuZadmNUwcxcM1Jmb0PxGQXWyuI5vzWaN/BOMUMWANZA1.jpg)
MAJERUHI WA BOMU LILILOLIPUKA KANISANI JIJINI MWANZA
10 years ago
Habarileo31 Aug
Mwingine aongezwa kesi ulipuaji bomu kanisani
KESI ya ulipuaji bomu wakati wa uzinduzi wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi lililopo Jijini Arusha Mei 5 mwaka jana na kuua watu watatu na wengine kadhaa kujeruhiwa juzi ilichukua sura mpya baada ya mtuhumiwa mwingine kuongezwa.
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
Serikali yakiri baadhi ya watumishi wake bomu
NA MIRIAM SARAKIKYA, EMAGS
SERIKALI imekiri kuwa baadhi ya huduma zinazotolewa katika sekta ya umma haziridhishi na hazikidhi viwango.
Pia imesema yapo matatizo ya rushwa na ucheleweshaji wa uamuzi kwa watendaji, bila ya sababu za msingi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi aliyasema hayo jana, Dar es Salaam, alipokuwa akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wakuu wa mikoa na makatibu tawala nchini.
Alisema upo ubabaishaji unaofanywa na baadhi ya watumishi ambao wanakiuka...