Mwingine aongezwa kesi ulipuaji bomu kanisani
KESI ya ulipuaji bomu wakati wa uzinduzi wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi lililopo Jijini Arusha Mei 5 mwaka jana na kuua watu watatu na wengine kadhaa kujeruhiwa juzi ilichukua sura mpya baada ya mtuhumiwa mwingine kuongezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 May
Bomu lalipuka, lajeruhi kanisani
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Bomu lapatikana kanisani Kenya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhPh-i6jd38FOGD2Sb1bWMbUTyNBDpyF2RNuABuOxQYq9Xqih0XgPciQuZadmNUwcxcM1Jmb0PxGQXWyuI5vzWaN/BOMUMWANZA1.jpg)
MAJERUHI WA BOMU LILILOLIPUKA KANISANI JIJINI MWANZA
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Waliolipua bomu kanisani sheria ichukue mkondo wake
MEI 5 mwaka huu kulitokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Imani, Dayosisi ya Mashariki Ziwa Victoria, mkoani Mwanza. Hakika tukio hilo ni...
10 years ago
Bongo Movies23 Jun
Baada ya Sugu Kushinda Kesi,Faiza Asema Bora Kufa Kuliko Kumuona Sasha Akilelewa na Mama Mwingine
Baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’ kushinda kesi mahakamani ya kutaka apewe amlee mtoto wake aitwaye Sasha,aliyekuwa mzazi mwanzake,Faiza Ally amefunguka kuwa ni bora kufa kuliko kumuona mtoto wake akilelewa na mama mwingine wakati yeye yupo hai.
Sugu alimfikisha mahamakani mzazi mwenziye kwa madai kuwa ameshindwa kumlea mtoto wao kwa kuwa mama huyo si mwadilifu.
Faiza ameandika hivi kupitia Akaunti ya...
11 years ago
BBCSwahili12 May
Chris Brown aongezwa muda jela
11 years ago
BBCSwahili30 May
Arsene Wenger aongezwa muda Arsenal
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Ulipuaji miamba marufuku usiku
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jul
Muarobaini ulipuaji wa mabomu watimia
NA RABIA BAKARI
SERIKALI imesema imeweka mikakati ya kudhibiti milipuko ya mabomu inayoendelea kutokea nchini.
Akizungumza na Mzalendo, juzi, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, alisema hawezi kutaja aina ya mikakati, lakini ipo na ni mikubwa.
“Tumejipanga kikamilifu na kwa nguvu zote kukomesha hali hii, tukisema tutafanya nini itakuwa si vizuri maana tutawapa maadui zetu nafasi ya kutujua, lakini wewe fahamu mikakati ipo na mikubwa,” aliongeza.
Aliwataka wananchi kuwa wepesi wa...