Muarobaini ulipuaji wa mabomu watimia
NA RABIA BAKARI
SERIKALI imesema imeweka mikakati ya kudhibiti milipuko ya mabomu inayoendelea kutokea nchini.
Akizungumza na Mzalendo, juzi, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, alisema hawezi kutaja aina ya mikakati, lakini ipo na ni mikubwa.
“Tumejipanga kikamilifu na kwa nguvu zote kukomesha hali hii, tukisema tutafanya nini itakuwa si vizuri maana tutawapa maadui zetu nafasi ya kutujua, lakini wewe fahamu mikakati ipo na mikubwa,” aliongeza.
Aliwataka wananchi kuwa wepesi wa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kKeY8ZcLXOs/VEU_9qSQp5I/AAAAAAAGsFo/bxNUwmoG8y0/s72-c/New%2BPicture%2B(3).bmp)
KIONGOZI WA ULIPUAJI WA MABOMU JIJINI ARUSHA AUWAWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-kKeY8ZcLXOs/VEU_9qSQp5I/AAAAAAAGsFo/bxNUwmoG8y0/s1600/New%2BPicture%2B(3).bmp)
Kiongozi wa matukio ya ulipuaji wa mabomu na umwagiaji tindikali viongozi wa dini aliyejulikana kwa jina la Yahaya Hassani Omary ameuwawa na jeshi la polisi wakati alivyokuwa akijaribu kukimbia.
Akithitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi mkoani Arusha,SACP Liberatus Sabas (pichani) Alisema kuwa tukio hilo limetokea October 19 majira ya saa tano na nusu katika barabara ya babati mkoani Arusha wakati alipokuwa akijaribu kuwakimbia polisi.
Alisema kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Ulipuaji mabomu wawapa hofu wenye ulemavu
VITENDO vya ulipuaji wa mabomu vinavyofanywa na Jeshi la Polisi mara kwa mara, vimekuwa vikilaumiwa na watu wenye ulemavu. Lawama hizi zinatokana na watu hao kushindwa kujitetea katika kujiokoa kwenye...
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Gaidi mkuu wa ulipuaji wa mabomu auwawa Arusha na Polisi
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/140.jpg)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas.
Kiongozi wa matukio ya ulipuaji wa mabomu na umwagiaji tindikali viongozi wa dini aliyejulikana kwa jina la Yahaya Hassani Omary ameuwawa na jeshi la polisi wakati alivyokuwa akijaribu kukimbia.
Akithitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas, alisema kuwa tukio hilo limetokea October 19 majira ya saa tano na nusu katika barabara ya Babati mkoani Arusha wakati alipokuwa akijaribu kuwakimbia...
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Jeshi la Polisi latangaza dau kwa yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa kinara wa matukio ya kigaidi na ulipuaji wa mabomu nchini
‘Sensei’ Yahaya Hassan Hella pichani kinara wa matukio mbalimbali ya ulipuaji wa mabomu hapa nchini ambaye Jeshi la Polisi na vyombo mbalimbali vya usalama vinamtafuta huku Serikali ikitangaza dau kwa mtu atakeyetoa taarifa zake kwenye kituo cha polisi kilichokaribu nawe. (Picha na Mahmoud Ahmad, Arusha).
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Waliokufa na Ebola watimia 7,000 sasa
11 years ago
Habarileo31 Mar
Msajili atafuta muarobaini ghasia uchaguzi mdogo
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini inatafuta njia ya kudhibiti vurugu zinazojitokeza katika uchaguzi mdogo nchini. Hatua hiyo inatokana na kile walichobaini kuwa vurugu hizo hazipaswi kuwepo hasa, ikizingatiwa kuwa Tanzania ni nchi ya amani.
5 years ago
MichuziSERIKALI KUUPATIA MUAROBAINI MGOGORO WA ENEO LA ITUHA MBEYA-WAZIRI HASUNGA
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Ulipuaji miamba marufuku usiku
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Wananchi waandamana kupinga ulipuaji GGM
WANANCHI wa kijiji cha Katoma mkoani hapa wameandamana kwa Mkuu wa Wilaya ya Geita, Omar Manguchie, kupinga shughuli za ulipuaji miamba ya dhahabu unaoendeshwa na kampuni ya dhahabu ya Geita...