Msajili atafuta muarobaini ghasia uchaguzi mdogo
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini inatafuta njia ya kudhibiti vurugu zinazojitokeza katika uchaguzi mdogo nchini. Hatua hiyo inatokana na kile walichobaini kuwa vurugu hizo hazipaswi kuwepo hasa, ikizingatiwa kuwa Tanzania ni nchi ya amani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi07 Mar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dnMa02sjzgs/XlbV1BTsXNI/AAAAAAALfoY/SEVZdCraK2gFQu8PBnT9z7gHE7Q4k7iIgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpmd7e85570fc11veg_800C450.jpg)
Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi
![](https://1.bp.blogspot.com/-dnMa02sjzgs/XlbV1BTsXNI/AAAAAAALfoY/SEVZdCraK2gFQu8PBnT9z7gHE7Q4k7iIgCLcBGAsYHQ/s640/4bpmd7e85570fc11veg_800C450.jpg)
Vyombo vya dola nchini humo vimeripoti kuwa, watu hao waliuawa katika mji mkuu Bujumbura, na kwamba maafisa wawili wa polisi wameuawa pia katika ghasia hizo za kabla ya uchaguzi.
Vyombo vya usalama nchini Burundi vimesema kuwa, vimewatia mbaroni watu sita wanaohusishwa na uhalifu huo wa kabla ya uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu....
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Waziri Ghasia atimua wakurugenzi walioboronga Uchaguzi Serikali za Mitaa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa (Tamisemi) Hawa Ghasia amewasimamisha kazi wakurugenzi wa halmashauri  mbalimbali kutokana na kuchelewa kuandaa  na kupeleka vifaa vya kupigia kura pamoja na uzembe katika kutekeleza majukumu yao katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika nchi nzima Jumapili iliyopita.
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Ofisi ya Msajili yakwama ripoti gharama za uchaguzi wa 2010
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeshindwa kutoa ripoti ya gharama za uchaguzi zilizotumiwa na wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwamo ubunge na urais katika uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2010.
11 years ago
MichuziTume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Mpoto-akizungumza.jpg?width=650)
KUELEKEA UCHAGUZI... MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAMBULISHA KAMPENI YA AMANI
Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi (katikati) akizungumza na wanahabari mapema leo, kulia ni msanii wa tungo za kiswahili, Mrisho Mpoto na kulia ni mwimbaji wa nyimbo za Injili, Christina Shusho. Msanii wa nyimbo za asili, Mrisho Mpoto akizungumza wakati wa mkutano huo. TAAARIFA KWA VYOMO VYA HABARI Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, pamoja na majukumu yake ya msingi, inayo pia jukumu la...
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Msajili avinyoshea kidole vyama vya siasa, ataka viheshimu Sheria ya Uchaguzi
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amevitahadharisha vyama vya siasa kuzingatia Sheria ya Gharama za Uchaguzi wakati mchakato wa kutafuta wagombea ukiendelea.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kGmfW1X2Mi4/VJEvOOKhwfI/AAAAAAAAOVE/VgMrIksITGs/s72-c/IMG_8597.jpg)
MHE. HAWA GHASIA ASEMA HAJIUZULU NG'O KUFUATIA KASHFA YA KUVURUGIKA KWA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kGmfW1X2Mi4/VJEvOOKhwfI/AAAAAAAAOVE/VgMrIksITGs/s640/IMG_8597.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RU3LumAILXA/VJEv_lPtkAI/AAAAAAAAOVU/N3cCXNeS1KQ/s640/ghasia.jpg)
11 years ago
Habarileo11 Feb
Uchaguzi mdogo janga Chadema
MATOKEO ya uchaguzi mdogo uliofanyika nchi nzima katika kata 27, zilizopo ndani ya mikoa 15 na kuipa CCM ushindi yamerejesha kilio katika uongozi wa Chadema.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania