Bomu lapatikana kanisani Kenya
Waumini katika kanisa moja nchini Kenya wanakila sababu ya kumshukuru mola wao baada ya bomu iliyokuwa imetegwa ndani ya kanisa kupatikana wakati wa ibada.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 May
Bomu lalipuka, lajeruhi kanisani
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Kaburi la halaiki lapatikana Kenya
11 years ago
GPLMAJERUHI WA BOMU LILILOLIPUKA KANISANI JIJINI MWANZA
10 years ago
Habarileo31 Aug
Mwingine aongezwa kesi ulipuaji bomu kanisani
KESI ya ulipuaji bomu wakati wa uzinduzi wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi lililopo Jijini Arusha Mei 5 mwaka jana na kuua watu watatu na wengine kadhaa kujeruhiwa juzi ilichukua sura mpya baada ya mtuhumiwa mwingine kuongezwa.
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Waliolipua bomu kanisani sheria ichukue mkondo wake
MEI 5 mwaka huu kulitokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Imani, Dayosisi ya Mashariki Ziwa Victoria, mkoani Mwanza. Hakika tukio hilo ni...
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Gari la Rais lililoibwa Kenya lapatikana Uganda
11 years ago
GPLWAWILI WAUAWA KANISANI KENYA
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Tishio la 'Bomu' lalazimu ndege ya Ufaransa kutua Kenya
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Hofu ya bomu ilivyolazimisha ndege ya Ufaransa kutua Kenya kwa dharura…
Matukio ya ajali za ndege yalichukua headlines katika vyombo mbalimbali vya habari duniani. Kuna hii nyingine inayohusisha ndege ya abiria aina ya Air France Boeing 777 AF463, iliyokuwa ikifanya safari zake kati ya Mauritius na Paris ambapo imelazimika kutua kwa ghafla katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta baada ya kuwepo hofu ya bomu. […]
The post Hofu ya bomu ilivyolazimisha ndege ya Ufaransa kutua Kenya kwa dharura… appeared first on TZA_MillardAyo.