Serikali yakiri baadhi ya watumishi wake bomu
NA MIRIAM SARAKIKYA, EMAGS
SERIKALI imekiri kuwa baadhi ya huduma zinazotolewa katika sekta ya umma haziridhishi na hazikidhi viwango.
Pia imesema yapo matatizo ya rushwa na ucheleweshaji wa uamuzi kwa watendaji, bila ya sababu za msingi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi aliyasema hayo jana, Dar es Salaam, alipokuwa akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wakuu wa mikoa na makatibu tawala nchini.
Alisema upo ubabaishaji unaofanywa na baadhi ya watumishi ambao wanakiuka...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Nov
Serikali yakiri ukuaji wake wa uchumi wa taifa hauendani na hali halisi ya wananchi
Serikali imesema Uchumi wa Taifa umekuwa kwa asilimia saba kwa kipindi kilichopita ila kutokana na sera ya kuwekeza kwenye vitu visivyohusisha wananchi moja kwa moja kumepelekea ukuaji huo kutooneka wazi.
Kutokana na mchango wa pato la Taifa kwa Watanzania ambalo ni asilimia 70 waliopo vijijini na mashambani imebainika kuwa na mchango mdogo.
Katika maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha , Naibu katibu Mkuu Professa Aldof Mkenda amesema, kwa...
10 years ago
StarTV16 Dec
Uchaguzi serikali za mitaa, Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Na, Winifrida Ndunguru
Dar Es Salaam.
15 December 2014
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Serikali imekiri kuwepo kwa kasoro luluki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini kote Jumapili wiki hii likiwemo suala zima la mkanganyiko wa jina la mgombea kuonekana katika chama kingine.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Hawa Ghasia, amesema kutokana na kasoro hizo ameitaka mikoa...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
9 years ago
StarTV06 Jan
Makamu wa Rais asema Uzembe wa baadhi ya watumishi wa afya wachangia Upotevu Wa Dawa
Baadhi ya Watumishi wa Sekta ya Afya yadaiwa kusababisha upotevu wa dawa zinazohitajika kuwafikia wananchi kwa asilimia 70 kutokana na kutokuwa na weledi katika kazi zao.
Kwa sasa ni asilimia 30 pekee za dawa ndio zinazowafikia wananchi na asilimia inayobaki inapotea.
Hayo yamebainika katika ziara ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu baada ya kutembelea Hospitali Teule ya Mkoa wa Geita ambapo changamoto ya dawa ni tatizo hali inayowalazimu wananchi...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Serikali yakiri uhaba wa mitamba
SERIKALI imesema kuna uhaba wa upatikanaji wa mitamba nchini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Kaika Telele, alipojibu swali la Mbunge wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Serikali yakiri kupoteza mabilioni
SERIKALI imekiri kupoteza mabilioni ya fedha kila mwaka ambazo zinapaswa kulipwa kwa mujibu wa sheria na makampuni ya migodi nchini kama ushuru wa huduma kwa halmashauri zinazozunguka migodi hiyo. Naibu...
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Serikali yakiri teknolojia ya BVR ‘kuchemsha’
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Serikali yakiri viongozi kusababisha migogoro
SERIKALI imekiri kuwapo kwa baadhi ya viongozi wa serikali ambao wamekuwa ni sehemu ya migogoro katika Wilaya ya Meatu. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahamoud Mgimwa, alitoa kauli hiyo...
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Serikali yakiri makosa ya vurumai Nigeria