Makamu wa Rais asema Uzembe wa baadhi ya watumishi wa afya wachangia Upotevu Wa Dawa
Baadhi ya Watumishi wa Sekta ya Afya yadaiwa kusababisha upotevu wa dawa zinazohitajika kuwafikia wananchi kwa asilimia 70 kutokana na kutokuwa na weledi katika kazi zao.
Kwa sasa ni asilimia 30 pekee za dawa ndio zinazowafikia wananchi na asilimia inayobaki inapotea.
Hayo yamebainika katika ziara ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu baada ya kutembelea Hospitali Teule ya Mkoa wa Geita ambapo changamoto ya dawa ni tatizo hali inayowalazimu wananchi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 Nov
Waziri wa Afya asema la hospitali kukosa dawa limekuzwa mno
![](https://4.bp.blogspot.com/-Kv8hM3kigJw/VGTPmsdDGAI/AAAAAAACuuw/XavUXIIgdu0/s640/IMG_7807.jpg)
Tatizo la ukosefu wa dawa katika hospitali kadhaa nchini, limekuzwa mno kuliko hali halisi na serikali itatoa taarifa rasmi kesho kuelezea tatizo hilo na hatua ambazo imechukua.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BZzw0B3S3Vw/ViYGfofLaeI/AAAAAAAIBFM/e9uwv28Ux7A/s72-c/116.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR AWAFARIJI BAADHI YA MAJERUHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BZzw0B3S3Vw/ViYGfofLaeI/AAAAAAAIBFM/e9uwv28Ux7A/s640/116.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wYFzwMsqiUM/ViYGhWnRBTI/AAAAAAAIBFc/UAd1PrD86R8/s640/139.jpg)
MAJERUHI 10 wanaendelea kupatiwa huduma za matibabu katika...
5 years ago
MichuziWATUMISHI WA OFISI YA MAKAMU WA RAIS WAPATA ELIMU YA CORONA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-E0zR0gVFQt8/ViiJvtcJLFI/AAAAAAAIBng/hXPIaJy71JA/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. AGANA NA WATUMISHI WA OFISI YAKE DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-E0zR0gVFQt8/ViiJvtcJLFI/AAAAAAAIBng/hXPIaJy71JA/s320/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Leor1wiKZ4k/ViiJvpxibXI/AAAAAAAIBnc/2m4mLyZSKe4/s320/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c-p5_eOV_nk/XtvGYup5EhI/AAAAAAALs0A/Avswnc3DWu8W3k8Vy6mZ6IolJwRYQLtSQCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A3756-2-2048x930.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA AKUTANA NA VIONGOZI NA WATUMISHI WAANDAMIZI WA OMR
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-p5_eOV_nk/XtvGYup5EhI/AAAAAAALs0A/Avswnc3DWu8W3k8Vy6mZ6IolJwRYQLtSQCLcBGAsYHQ/s640/F87A3756-2-2048x930.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A3727-2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi na Watumishi waandamizi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira na Baaraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)leo Juni 06,2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Kambarage Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A3771-2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Azan Zungu Nje ya ukumbi wa...
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS MHE SAMIA AKUTANA NA VIONGOZI NA WATUMISHI WAANDAMIZI WA OMR
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFANYA MAUNGUMZO NA BAADHI YA MABALOZI WANAOZIWAKILISHA NCHI ZAO HAPA NCHINI LEO
10 years ago
StarTV08 Jan
Umaskini watumishi wa TEMESA wachangia wizi wa mafuta.
Na Rogers Wilium,
Mwanza.
Waziri wa Ujenzi Dokta John Magufuli amesema umaskini miongoni mwa watumishi wa wakala wa ufundi na umeme TEMESA unawafanya kuwa wezi wa mafuta ya feri na fedha za ushuru nchini.
Kauli hiyo imekuja baada ya Waziri Magufuli kuzindua mfumo wa kielekriniki wa ukatishaji tikiti katika Kivuko cha Kigongo Busisi mkoani Mwanza mfumo ambapo umeongeza mapato kwa zaidi ya asilimia 40.
Moja ya vivuko vikongwe nchini Tanzania ni Kivuko cha Kigongo Busisi mkoani...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s72-c/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
Mhe. Membe akutana na Makamu wa Rais wa China mjini Beijing,Pia afanya mazungumzo na baadhi ya Mawaziri wa nchi hiyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s1600/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CJt3mT3ajFc/Uw8swDiENDI/AAAAAAAASgM/FNggxpup1f4/s1600/MFAIC+China+with+VP+4.jpeg)