WATUMISHI WA OFISI YA MAKAMU WA RAIS WAPATA ELIMU YA CORONA
Bw. Yusuph Seif Afisa Afya kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamiii, Jinsia, Wazee na Watoto akitoa elimu juu ya ugonjwa wa Corona kwa watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais hii leo Mtumba Dodoma. Katika picha ni baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Mhandisi Joseph Malongo.
Sehemu ya watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakimsikiliza Bw. Yusuph Seif Afisa Afya kutoka Wizara Afya (hayupo pichani) wakati wa utoaji wa elimu juu ya ugonjwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9pNB2cci6ws/XoXXXRxSksI/AAAAAAALl1o/DAJmbUhlBFQpmOJOi9q7gHnPRcRsGtTCQCLcBGAsYHQ/s72-c/ONE-768x512.jpg)
WATUMISHI MADINI WAPATA ELIMU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9pNB2cci6ws/XoXXXRxSksI/AAAAAAALl1o/DAJmbUhlBFQpmOJOi9q7gHnPRcRsGtTCQCLcBGAsYHQ/s640/ONE-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/TWO-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/THREE-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/FOUR-1024x683.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-E0zR0gVFQt8/ViiJvtcJLFI/AAAAAAAIBng/hXPIaJy71JA/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. AGANA NA WATUMISHI WA OFISI YAKE DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-E0zR0gVFQt8/ViiJvtcJLFI/AAAAAAAIBng/hXPIaJy71JA/s320/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Leor1wiKZ4k/ViiJvpxibXI/AAAAAAAIBnc/2m4mLyZSKe4/s320/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s72-c/03.jpg)
MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
9 years ago
MichuziBALOZI WA UTURUKI ATEMBELEA OFISI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO.
Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh .January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-beG3IzI47SY/XnEhqiHMGGI/AAAAAAALkMc/vnnzlse9Pd0SIY0rBuArhUsz8t-EKdMOgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_4336AA-768x512.jpg)
WATUMISHI OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI WAPEWA SOMO KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-beG3IzI47SY/XnEhqiHMGGI/AAAAAAALkMc/vnnzlse9Pd0SIY0rBuArhUsz8t-EKdMOgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_4336AA-768x512.jpg)
Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu na Utawala Bw. James Kibamba akizungumza na sehemu ya watumishi waliohudhulia mafunzo kuhusu namna sahihi ya kujinga na virusi vya ugonjwa wa Corona wakati akimkaribisha muwezeshaki Dkt. Peter Kibacha ambaye ni mtalaam bingwa wa afya na mtoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili. zoezi la kutoa elimu hiyo limefanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo katika Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali uliopo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_4359AA-1024x682.jpg)
Bw. Yusuph Varisanga kutoka kitengo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA SULUHU AKABIDHIWA RASMI OFISI, AKARIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-deH0jjW5Pz8/VkCYe3PyZ4I/AAAAAAAClgU/s1xigYfCttM/s640/01.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA AKABIDHIWA OFISI RASMI NA DKT. BILAL, AKARIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s640/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akipokea nyaraka za Ofisi kutoka kwa Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati wa makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam,leo. Picha zote na OMR
![](http://1.bp.blogspot.com/-deH0jjW5Pz8/VkCYe3PyZ4I/AAAAAAAClgU/s1xigYfCttM/s640/01.jpg)
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya Corona: Msaidizi wa Makamu wa rais Mike Pence akutwa na Corona