WATUMISHI MADINI WAPATA ELIMU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9pNB2cci6ws/XoXXXRxSksI/AAAAAAALl1o/DAJmbUhlBFQpmOJOi9q7gHnPRcRsGtTCQCLcBGAsYHQ/s72-c/ONE-768x512.jpg)
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala, Issa Nchasi akiwakaribisha wataalamu wa Afya kutoa mafunzo juu ya ugonjwa wa corona kwa watumishi wa Wizara ya Madini Makao Makuu jijini Dodoma, leo asubuhi.
Mtaalamu wa afya Dkt. Shamza Said akitoa elimu ya ugonjwa wa corona kwa watumishi wa Wizara ya Madini ili kuwapa uelewa wa ugonjwa huo na namna ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWATUMISHI WA OFISI YA MAKAMU WA RAIS WAPATA ELIMU YA CORONA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAPEWA ELIMU YA UELEWA JUU YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-w7tuscuS3pI/Xo3OCk-mqzI/AAAAAAAC878/gA_nnJJFS24-HH2T_WU0K-3rRi3OwoTowCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ESuESaSkNQ/Xo3OCqKlAEI/AAAAAAAC88A/7o0HHkWnp_oqTW4bBxMmlDQA4EY-sN8nwCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VfdbsJj2u7c/XowQ7kUzHrI/AAAAAAALmUk/v4Syv1GoyW4calWNtSqJVlWcNDEV_4GkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0044-768x513.jpg)
RC Wangabo Asisitiza Watumishi Kutoa Elimu ya Corona Hadi Vijijini Baada ya Wananchi na Vijana Wengi kutofuatilia Vyombo vya Habari
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfdbsJj2u7c/XowQ7kUzHrI/AAAAAAALmUk/v4Syv1GoyW4calWNtSqJVlWcNDEV_4GkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0044-768x513.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akipimwa hali yake ya joto la mwili kabla ya kuingia katika ofisi za kituo cha Uhami`aji kilichopo katika mpaka wa Kasesya unaotenganisha nchi ya Tanzania na Zambia,uliopo kata ya Itete, Wilayani Kalambo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0113-1024x684.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Nishati na Madini wapata kigugumizi
WAWAKILISHI wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, jana walijikoroga mbele ya Kamati ya Usuluhishi ya Baraza la Habari Tanzania (MCT), na hivyo kusababisha shauri lao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmq7sk37L2D480ufWR0KmbvCppPT0br2G*6*NXeNEvI9Hi8vnsUbE720lM3MbfhmgF70Y0js6MnA1-tB-GsFs0e/tmtcopy.jpg?width=650)
TMT WAPATA ELIMU GLOBAL
10 years ago
MichuziWatumishi wapya Nishati na Madini waaswa kuwa wabunifu, waadilifu
10 years ago
Habarileo06 Nov
2,475 wapata mikopo elimu ya juu Zanzibar
WANAFUNZI 2,475 wa Zanzibar wanaosoma katika vyuo vya elimu ya juu nchini, wamepata mikopo ya kuendelea na masomo katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kwa mwaka wa fedha 2014-2015.
10 years ago
MichuziWaislam Mkoani Lindi wapata elimu ya ukimwi
Na ABDULAZIZ ,Globu ya Jamii - Lindi
Viongozi wa dini mkoani Lindi wameaswa kuhimiza maadili mema...
5 years ago
MichuziWafanyakazi STAMICO wapata mafunzo dhidi ya Corona
Katika kufanikisha hilo, uongozi wa STAMICO uliandaa mafunzo ya siku moja yaliyofanyika kwenye viunga vya wazi vya ofisi hiyo kwa ajili ya wafanyakazi wake waliopo Dar es Salaam ambapo, pamoja na mambo mengine, walihimizwa kujilinda na maambukizi ya ugonjwa wa COVID...