Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TMT WAPATA ELIMU GLOBAL

Washiriki wa TMT wakiwa katika picha ya pamoja. KAMPUNI ya Proin Promotion imewadondosha washiriki wote kutoka kanda sita waliopatikana katika shindano la kuibua vipaji vya kuigiza lijulikanalo kama Tanzania Movie Talent (TMT) katika Ofisi za Global Publishers zilizopo Bamaga-Mwenge jijini Dar Juni 26, mwaka huu kujifunza mambo mbalimbali kuhusiana na uchapishaji wa magazeti.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WASHIRIKI WA TMT WATEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS

Meneja wa washiriki wa Tanzania Movie Talents (TMT), Happiness Ntaga kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited akiwatambulisha washiriki (hawapo pichani) kwa wafanyakazi wa Global Publishers. Washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kutoka kanda mbalimbali Tanzania bara wakiwasili ofisi ya…

 

10 years ago

GPL

TOP 10 YA TMT 2014 YATEMBELEA GLOBAL TV LEO

Baadhi ya wasanii walioingia Top 10 ya shindano la TMT 2014 wakiwa ndani ya studio za Global TV Online. Wasanii hao wakionyesha makeke yao ndani ya studio za Global TV Online leo.…

 

9 years ago

GPL

KUELEKEA FAINALI 10 BOLA TMT WALIVYOPOKELEWA GLOBAL

Washiriki wakisikiliza kwa makini. MWISHONI mwa wiki iliyopita, washiriki walioingia kumi bora katika shindano la kusaka vipaji vya kuigiza lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents (TMT) walitinga ndani ya Jengo la Global Publishers, Bamaga-Mwenge jijini Dar. Mhariri kiongozi wa Championi Saleh Ally, akizungumza na washiriki hao…

 

10 years ago

GPL

STAA WA TMT 2014, MWANAAFA MWINZAGO ATEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS

Mwanaafa Mwinzago akipozi katika studio za Global TV Online. Mwanaafa akiweka microphone vizuri kabla ya kuhojiwa. MSHINDI wa milioni 50 za Tanzania Movie Talents (TMT)…

 

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI MADINI WAPATA ELIMU YA CORONA


Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala, Issa Nchasi akiwakaribisha wataalamu wa Afya kutoa mafunzo juu ya ugonjwa wa corona kwa watumishi wa Wizara ya Madini Makao Makuu jijini Dodoma, leo asubuhi.Mtaalamu wa afya Dkt. Shamza Said akitoa elimu ya ugonjwa wa corona kwa watumishi wa Wizara ya Madini ili kuwapa uelewa wa ugonjwa huo na namna ya...

 

11 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) WATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS LEO

 Washiriki wa fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents wakipewa maelekezo ya jinsi magazeti ya kampuni hiyo yanavyoandaliwa hadi yanaponunuliwa na wadau wa habari  Maelekezo yakiendelea kwa washiriki wa fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents Washiriki wa Fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakiwa katika picha ya Pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publisher mara baada yakutembelea ofisi zao leo zilizopo 
Bamaga Mwenge Jijini Dar Es...

 

11 years ago

Dewji Blog

Washiriki wa fainali za shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) watembelea Ofisi za Global Publishers leo

IMG_0933

IMG_0934

Washiriki wa fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambao ni washindi wa TMT kutoka kanda sita za Tanzania wakisikiliza maelezo kwa makini kutoka kwa Mmoja wa Wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers Limited (hayupo pichani).

IMG_0945

Mmoja wa washiriki wa fainali wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambae pia ni mshindi kutoka kanda ya Kati Mkoa wa Dodoma Mwinshehe Mohamed akijitambulisha mbele ya wafanyakazi wa Kampuni ya Kubwa ya Habari ya Global Publishers Limited...

 

10 years ago

Michuzi

Waislam Mkoani Lindi wapata elimu ya ukimwi

Katibu wa Baraza kuu la Waisalam Mkoa wa Lindi (BAKWATA) Alhaj Abdillah Salum akifunga mafunzo kwa viongozi wa Kiislam pamoja na waalim wa madrasa katika Manispaa ya Lindi kuhusiana na Vita dhidi ya VVU/UKIMWI Chini ya Uwezeshaji wa AMREF kwa Ufadhili wa Global Fund. viongozi wa dini ya kiislam wakipata mafunzo toka kwa mkufunzi wa mafunzo hayo,sheikh Shomari Mchongoma.Maelezo ya Semina hiyo.
Na ABDULAZIZ ,Globu ya Jamii - Lindi
Viongozi wa dini mkoani Lindi wameaswa kuhimiza maadili mema...

 

10 years ago

Habarileo

2,475 wapata mikopo elimu ya juu Zanzibar

WANAFUNZI 2,475 wa Zanzibar wanaosoma katika vyuo vya elimu ya juu nchini, wamepata mikopo ya kuendelea na masomo katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kwa mwaka wa fedha 2014-2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani