TMT WAPATA ELIMU GLOBAL
![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmq7sk37L2D480ufWR0KmbvCppPT0br2G*6*NXeNEvI9Hi8vnsUbE720lM3MbfhmgF70Y0js6MnA1-tB-GsFs0e/tmtcopy.jpg?width=650)
Washiriki wa TMT wakiwa katika picha ya pamoja. KAMPUNI ya Proin Promotion imewadondosha washiriki wote kutoka kanda sita waliopatikana katika shindano la kuibua vipaji vya kuigiza lijulikanalo kama Tanzania Movie Talent (TMT) katika Ofisi za Global Publishers zilizopo Bamaga-Mwenge jijini Dar Juni 26, mwaka huu kujifunza mambo mbalimbali kuhusiana na uchapishaji wa magazeti.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWASHIRIKI WA TMT WATEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
GPLTOP 10 YA TMT 2014 YATEMBELEA GLOBAL TV LEO
9 years ago
GPLKUELEKEA FAINALI 10 BOLA TMT WALIVYOPOKELEWA GLOBAL
10 years ago
GPLSTAA WA TMT 2014, MWANAAFA MWINZAGO ATEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9pNB2cci6ws/XoXXXRxSksI/AAAAAAALl1o/DAJmbUhlBFQpmOJOi9q7gHnPRcRsGtTCQCLcBGAsYHQ/s72-c/ONE-768x512.jpg)
WATUMISHI MADINI WAPATA ELIMU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9pNB2cci6ws/XoXXXRxSksI/AAAAAAALl1o/DAJmbUhlBFQpmOJOi9q7gHnPRcRsGtTCQCLcBGAsYHQ/s640/ONE-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/TWO-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/THREE-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/FOUR-1024x683.jpg)
11 years ago
MichuziWASHIRIKI WA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) WATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS LEO
Bamaga Mwenge Jijini Dar Es...
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Washiriki wa fainali za shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) watembelea Ofisi za Global Publishers leo
Washiriki wa fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambao ni washindi wa TMT kutoka kanda sita za Tanzania wakisikiliza maelezo kwa makini kutoka kwa Mmoja wa Wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers Limited (hayupo pichani).
Mmoja wa washiriki wa fainali wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambae pia ni mshindi kutoka kanda ya Kati Mkoa wa Dodoma Mwinshehe Mohamed akijitambulisha mbele ya wafanyakazi wa Kampuni ya Kubwa ya Habari ya Global Publishers Limited...
10 years ago
MichuziWaislam Mkoani Lindi wapata elimu ya ukimwi
Na ABDULAZIZ ,Globu ya Jamii - Lindi
Viongozi wa dini mkoani Lindi wameaswa kuhimiza maadili mema...
10 years ago
Habarileo06 Nov
2,475 wapata mikopo elimu ya juu Zanzibar
WANAFUNZI 2,475 wa Zanzibar wanaosoma katika vyuo vya elimu ya juu nchini, wamepata mikopo ya kuendelea na masomo katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kwa mwaka wa fedha 2014-2015.