Wafanyakazi STAMICO wapata mafunzo dhidi ya Corona
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeungana na taasisi nyingine za umma na binafsi nchini katika kuwaasa wafanyakazi wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID -19).
Katika kufanikisha hilo, uongozi wa STAMICO uliandaa mafunzo ya siku moja yaliyofanyika kwenye viunga vya wazi vya ofisi hiyo kwa ajili ya wafanyakazi wake waliopo Dar es Salaam ambapo, pamoja na mambo mengine, walihimizwa kujilinda na maambukizi ya ugonjwa wa COVID...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rZJFCoxsCpU/XrEfJarwXkI/AAAAAAALpME/Y93qgeg-c9ElYHeFLz9ehQyZnonTU1idgCLcBGAsYHQ/s72-c/2AAA-768x345.jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI WAPATA MAFUNZO KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZJFCoxsCpU/XrEfJarwXkI/AAAAAAALpME/Y93qgeg-c9ElYHeFLz9ehQyZnonTU1idgCLcBGAsYHQ/s640/2AAA-768x345.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3AA-1024x461.jpg)
Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya tiba asili na tiba mbadala wa wilaya ya Tunduru Mohamed Nandule akiongea na waganga wa tiba asili na tiba mbadala kutoka kata ya Mbesa wilayani...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fk5HUvhu9Rg/U3UrT3dyt8I/AAAAAAAFh-w/29tD1GIl00A/s72-c/unnamed+(91).jpg)
WAFANYAKAZI WA BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR WAPATA MAFUNZO YA SIKU TATU JUU UTOAJI HUDUMA BORA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-fk5HUvhu9Rg/U3UrT3dyt8I/AAAAAAAFh-w/29tD1GIl00A/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hnOHXn1lDsc/U3UrTzL0XRI/AAAAAAAFh-8/vDtAt-GfbmQ/s1600/unnamed+(92).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qfnUkAp5lAM/U3UrUNUHfpI/AAAAAAAFh-0/8iFO_-vVZzg/s1600/unnamed+(95).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/YMtPI4SNIOc/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9YuBwE4oFOw/XqwC1jMWydI/AAAAAAALowk/nzXpAryRC3E6-iiDsfe6tPymeZFG-SOigCLcBGAsYHQ/s72-c/Mafunzo-1-2048x1366.jpg)
WAFANYAKAZI WA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE WAPEWA MAFUNZO YA MARA KWA MARA KUHUSU UGONJWA WA CORONA (COVID – 19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9YuBwE4oFOw/XqwC1jMWydI/AAAAAAALowk/nzXpAryRC3E6-iiDsfe6tPymeZFG-SOigCLcBGAsYHQ/s640/Mafunzo-1-2048x1366.jpg)
Afisa Muuguzi wa chumba cha upasuaji kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Aimana John akiwaelekeza wauguzi wenzake namna sahihi ya kunawa mikono kwa maji safi yanayotiririka na sabuni wakati wa mafunzo ya jinsi ya kupambana na ugonjwa wa Corona (COVID-19) yanayotolewa kwa wafanyakazi wa Taasisi hiyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Mafunzo-2-scaled.jpg)
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Virusi vya corona: Wafanyakazi wanne wa Ikulu ya Rais Kenya wamepatwa na corona
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Dereva bajaji wanaotoa mafunzo ya Corona nchini Tanzania
10 years ago
MichuziKILIMANJARO WAPATA MAFUNZO YA MENEJIMENTI YA MAAFA YA UKAME
11 years ago
KwanzaJamii14 Jul
Wanafunzi Golden Gate wapata mafunzo maalum