WATUMISHI OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI WAPEWA SOMO KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-beG3IzI47SY/XnEhqiHMGGI/AAAAAAALkMc/vnnzlse9Pd0SIY0rBuArhUsz8t-EKdMOgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_4336AA-768x512.jpg)
Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu na Utawala Bw. James Kibamba akizungumza na sehemu ya watumishi waliohudhulia mafunzo kuhusu namna sahihi ya kujinga na virusi vya ugonjwa wa Corona wakati akimkaribisha muwezeshaki Dkt. Peter Kibacha ambaye ni mtalaam bingwa wa afya na mtoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili. zoezi la kutoa elimu hiyo limefanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo katika Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali uliopo Jijini Dar es Salaam.
Bw. Yusuph Varisanga kutoka kitengo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya corona: WHO ilijua kuhusu virusi vya corona miaka miwili iliopita
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona:Daktari mkuu wa aonya kuhusu uwezekano wa kusambaa zaidi kwa Covid-19 Marekani
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Kwanini Trump anatofautiana na majasusi wa Marekani kuhusu chimbuko la virusi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALIELEZA BUNGE HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA...AGUSIA UZUSHI MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHsjaMIG2oI/XoSBCzmQPyI/AAAAAAALlx4/-jfBkdLO_Xoc5ul2wybDIwkTt5LCHmJTACLcBGAsYHQ/s400/IMGM6409-660x400.jpg)
WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa amelieleza Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hatua mbalimbali ambazo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt.John Magufuli ambazo inazichukua katika kukabiliana na virusi vya Corona ambavyo vinasababisha ugonjwa wa COVID-19.
Akizungumza mchana huu Bungeni Mjini Dodoma katika mkutano wa kumi na tisa, kikao cha pili cha bajeti ya mwaka 2019/2020 Waziri Mkuu Kasim Majaliwa ametaja hatua kadhaa ambazo zimechukuliwa hadi sasa kama...
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya Corona: Taarifa ambazo si sahihi kuhusu corona zimetapakaa Afrika?
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Nadharia za kuficha ukweli zaibuka kuhusu kifo cha mtaalamu wa corona.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWU12hx1M7k/VVJF6t441QI/AAAAAAAHW6s/Bs0f3xs86qA/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
HOTUBA YA WAZIRI MKUU, MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), KUHUSU MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI NA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2015/2016
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWU12hx1M7k/VVJF6t441QI/AAAAAAAHW6s/Bs0f3xs86qA/s640/unnamed%2B(25).jpg)
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba kutokana na Taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Wenyeviti wa Kamati za Katiba, Sheria na Utawala; Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa; Uchumi, Viwanda na Biashara na Kamati ya Masuala ya UKIMWI zilizochambua Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge lako sasa lipokee na kujadili Taarifa ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z_ItzeMshcY/U2l-N5pUTNI/AAAAAAAFgAo/ChuDAnd8OyY/s72-c/download.jpg)