NAFASI ZA KAZI YA UALIMU BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Or426ANukL4/U3eFpvdzRYI/AAAAAAAFigA/jgRp4mUPzq4/s72-c/Premeier+Girls+Sec.+School.jpg)
Shule ya sekondari ya wasichana ya Premier iliyoko Kiromo Bagamoyo inapenda kuwatangazia nafasi za kazi ya ualimu kwa masomo yafuatayo
ENGLISH
SWAHILI
BOOKKEEPING
COMMERCE
Fika shuleni Kiromo kwa kuleta maombi yako siku ya mahojiano ni tarehe 22 na 23 May 2014 au kwa maelezo zaidi piga simu namba 0715836237
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi31 May
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU RENGEMBA MAFINGA IRINGA
CHUO KINATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2014 - 2015 NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NA CHILD DEVELOPMENT - 2014-2015 ADA YA MWAKA MOJA PAMOJA NA HOSTEL NI MILLIONI MOJA (1,000,000) UNAWEZA KULIPA KWA AWAMU NNE NDANI YA MWAKA MMOJA. FORM ZA SHULE ZINAPATIKANA kwa maelezo zaidi wasiliana na njia ya barua pepee; rugemba@gmail.com REGEMBA CHUONI -0753 038336 DAR ES SALAAM -BOKO...
11 years ago
Michuzi27 May
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU CHA RUNGEMBA, MAFINGA, IRINGA
1. MAFUNZO YA UALIMU STASHAHADA (SECONDARY) 'DIPLOMA IN SECONDARY' (DSEE) KWA MIAKA 2 Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha sita (v1) na ufaulu wa principal (1) subsidiary (1) 2. UALIMU DARAJA LA 111-A - NGAZI YA CHETI (CATCE) - KWA MIAKA 2. Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha nne (1V) na ufaulu wa alama 26-27 (kwa mwaka 2004-2012) au alama 32-34 (kwa mwaka2013) 3. MAFUNZO...
11 years ago
Michuzi21 Apr
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FZjUBIw6Q5Y/VfbH7s170fI/AAAAAAAH4v8/HrZlqsrgK0k/s72-c/aitv.png)
10 years ago
Michuzi30 Oct
NAFASI ZA KAZI
wawe na uwezo wa kuzungumza kiingereza na kiswahili fasaha. elimu kuanzia diploma.
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0756608383 na 0713608383
11 years ago
TZToday03 Aug
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi...
10 years ago
Michuzi02 Dec
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MADEREVA
11 years ago
Michuzi17 Jun
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm13lD99bhuE*GKjNOCfVhdGdcIatt1zYeKHnXypSny9ZboJGduFxsj05U3KqR7hv4ed*SdMqNMfI*0s5iovJ8T8/tanapa_logo.gif?width=120)
NAFASI ZA KAZI KUTOKA TANAPA