NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2014/2015
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi31 May
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU RENGEMBA MAFINGA IRINGA
CHUO KINATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2014 - 2015 NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NA CHILD DEVELOPMENT - 2014-2015 ADA YA MWAKA MOJA PAMOJA NA HOSTEL NI MILLIONI MOJA (1,000,000) UNAWEZA KULIPA KWA AWAMU NNE NDANI YA MWAKA MMOJA. FORM ZA SHULE ZINAPATIKANA kwa maelezo zaidi wasiliana na njia ya barua pepee; rugemba@gmail.com REGEMBA CHUONI -0753 038336 DAR ES SALAAM -BOKO...
11 years ago
Michuzi27 May
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU CHA RUNGEMBA, MAFINGA, IRINGA
1. MAFUNZO YA UALIMU STASHAHADA (SECONDARY) 'DIPLOMA IN SECONDARY' (DSEE) KWA MIAKA 2 Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha sita (v1) na ufaulu wa principal (1) subsidiary (1) 2. UALIMU DARAJA LA 111-A - NGAZI YA CHETI (CATCE) - KWA MIAKA 2. Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha nne (1V) na ufaulu wa alama 26-27 (kwa mwaka 2004-2012) au alama 32-34 (kwa mwaka2013) 3. MAFUNZO...
11 years ago
Michuzi21 Jul
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Wanafunzi wa stashahada ya ualimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati UDOM kunufaika na mikopo ya elimu ya juu
Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya utoaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Baadhi ya Waaandishi wa Habari wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa...
10 years ago
Vijimambo02 Apr
TaSUBa yatangazia umma nafasi za kozi kwa mwaka wa masomo 2015 /2016
![timthumb](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/timthumb.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Apr
TaSUBa yatangazia umma nafasi za kozi kwa mwaka wa masomo 2015 /2016
WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO
(TaSUBa)
TANGAZO LA KUJIUNGA NA CHUO
TaSUBa inawatangazia umma nafasi za kujiunga na kozi kwa ngazi ya Cheti (Certificate) na
Stashahada (Diploma) kwa mwaka wa masomo 2015 /2016
Kozi hizo ni kama ifuatavyo:-
Sanaa za Maonyesho (Performing Arts):-Muziki, Ngoma, Tamthiliya/Maigizo, Sarakasi na Sanaa za Ufundi
Ubunifu na Uzalishaji wa Muziki (Music Design and Production) Picha Jongefu (Media Design and...
9 years ago
StarTV18 Dec
Masomo Ya Sayansi Ya Kijeshi  TMA, IAA kuanzishwa ngazi ya shahada, stashahada
Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi TMA kimesaini mkataba wa makubaliano na chuo cha IAA wa kuanzishwa program ya shahada pamoja na stashahada ya uzamili ya masomo ya sayansi ya kijeshi.
Programu hiyo ina lengo la kuzalisha maofisa watakaokuwa na weledi katika kufikiri na kutekeleza wajibu wao kwenye masuala ya ulinzi.
Makubaliano hayo yamesainiwa na mkuu wa chuo cha mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli mkoani Arusha Meja Jenerali Paul Masao na mkuu wa taasisi ya mafunzo ya uhasibu iliyopo mkoani...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M3nC91s6DJs/U_MkCQ1A3WI/AAAAAAAGAsc/L-SGV8b4uyI/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
MAANDALIZI YA UTOAJI MIKOPO KWA MWAKA WA MASOMO 2014/2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-M3nC91s6DJs/U_MkCQ1A3WI/AAAAAAAGAsc/L-SGV8b4uyI/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8c0qZ-OgFhQ/U_MkCl0qJdI/AAAAAAAGAsg/NpE7bG523pI/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TxdS1VylyJk/VBbdxUBhr_I/AAAAAAACq8Y/Uc9iC2f2CNg/s72-c/New%2BPicture.png)
Bilioni 3 kutumika mwaka wa masomo 2014 — 2015 kutoka mfuko wa pensheni wa LAPF kwa wanachama wake.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TxdS1VylyJk/VBbdxUBhr_I/AAAAAAACq8Y/Uc9iC2f2CNg/s1600/New%2BPicture.png)
Bilioni 3 kutumika mwaka wa masomo 2014 – 2015 kutoka mfuko wa pensheni wa LAPF kwa wanachama wake.
15 Septemba 2014, Dodoma: Wanachama wa mfuko wa penseni wa LAPF kunufaika na fao jipya lilozinduliwa hivi karibuni nchini kwa Baraka zake Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia.
Fao hilo lijulikanalo kama ‘Piga Kitabu na LAPF’ limelenga kuwakopesha wanachama wa LAPF mikopo ya elimu ya juu kwani ni ombi la...