MAANDALIZI YA UTOAJI MIKOPO KWA MWAKA WA MASOMO 2014/2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-M3nC91s6DJs/U_MkCQ1A3WI/AAAAAAAGAsc/L-SGV8b4uyI/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya utoaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Baadhi ya Waaandishi wa Habari wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-w3XZMinggZs/VUNxY743_cI/AAAAAAAHUes/huYv7T34hvI/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
BODI YA MIKOPO YAANZA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO KUTOKA KWA WANAFUNZI KWA MWAKA WA MASOMO 2015-2016
![](http://3.bp.blogspot.com/-w3XZMinggZs/VUNxY743_cI/AAAAAAAHUes/huYv7T34hvI/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Mei 1, 2015) imetoa mwongozo kwa wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2015/2016 unaotarajiwa kuanza miezi michache ijayo.
Kwa mujibu wa mwongozo huo, ambao unapatikana katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz), waombaji wote wamepewa takribani miezi miwili kuwasilisha maombi yao kuanzia Jumatatu, Mei 4, 2015...
10 years ago
Dewji Blog02 May
HESLB yaanza kupokea maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB – Bw. George Nyatega.
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) jana (Ijumaa, Mei 1, 2015) imetoa mwongozo kwa wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2015/2016 unaotarajiwa kuanza miezi michache ijayo.
Kwa mujibu wa mwongozo huo, ambao unaanza kupatakikana leo katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz), waombaji wote wamepewa takribani miezi miwili kuwasilisha maombi yao kuanzia Jumatatu,...
11 years ago
Michuzi21 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TxdS1VylyJk/VBbdxUBhr_I/AAAAAAACq8Y/Uc9iC2f2CNg/s72-c/New%2BPicture.png)
Bilioni 3 kutumika mwaka wa masomo 2014 — 2015 kutoka mfuko wa pensheni wa LAPF kwa wanachama wake.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TxdS1VylyJk/VBbdxUBhr_I/AAAAAAACq8Y/Uc9iC2f2CNg/s1600/New%2BPicture.png)
Bilioni 3 kutumika mwaka wa masomo 2014 – 2015 kutoka mfuko wa pensheni wa LAPF kwa wanachama wake.
15 Septemba 2014, Dodoma: Wanachama wa mfuko wa penseni wa LAPF kunufaika na fao jipya lilozinduliwa hivi karibuni nchini kwa Baraka zake Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia.
Fao hilo lijulikanalo kama ‘Piga Kitabu na LAPF’ limelenga kuwakopesha wanachama wa LAPF mikopo ya elimu ya juu kwani ni ombi la...
10 years ago
VijimamboMAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU CHA DODOMA MWAKA WA MASOMO 2014/2015
UNDERGRADUATE DEGREE BATCH ONE
COLLEGE OF EDUCATIONcollege of education.xlsDownloadDetailsCOLLEGE OF EARTH SCIENCEScollege of earth sciences.xlsDownloadDetailsCOLLEGE OF HEALTH SCIENCEScollege of health sciences.xlsDownloadDetailsCOLLEGE OF HUMANITIES & SOCIAL SCIENCEScollege of humanities and social sciences.xlsDownloadDetailsCOLLEGE OF INFORMATICS & VIRTUAL EDUCATIONcollege of informatics and virtual education.xlsDownloadDetailsCOLLEGE OF NATURAL & MATHEMATICAL SCIENCEScollege of natural...
11 years ago
GPLMAANDALIZI YA UTOAJI TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 YAPAMBA MOTO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ycmWSPmqRb0/VT-lb1hRLeI/AAAAAAAHT34/8uHZI_wA_i8/s72-c/3.jpg)
MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KWA MWAKA 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-ycmWSPmqRb0/VT-lb1hRLeI/AAAAAAAHT34/8uHZI_wA_i8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZP617WbQTW0/VT-ldE8wIxI/AAAAAAAHT4A/brrAfnsysxQ/s1600/4.jpg)
10 years ago
Vijimambo02 Apr
TaSUBa yatangazia umma nafasi za kozi kwa mwaka wa masomo 2015 /2016
![timthumb](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/timthumb.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Apr
TaSUBa yatangazia umma nafasi za kozi kwa mwaka wa masomo 2015 /2016
WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO
(TaSUBa)
TANGAZO LA KUJIUNGA NA CHUO
TaSUBa inawatangazia umma nafasi za kujiunga na kozi kwa ngazi ya Cheti (Certificate) na
Stashahada (Diploma) kwa mwaka wa masomo 2015 /2016
Kozi hizo ni kama ifuatavyo:-
Sanaa za Maonyesho (Performing Arts):-Muziki, Ngoma, Tamthiliya/Maigizo, Sarakasi na Sanaa za Ufundi
Ubunifu na Uzalishaji wa Muziki (Music Design and Production) Picha Jongefu (Media Design and...