Vijana wa Kitanzania waungana kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi malengo ya 17 ya (SDGs)
Mkurugenzi wa Asasi ya Mazingira, Elisha Sibale amesema kuwa vijana wanawajibu wa kuleta mabadiliko chanya katika mabadiliko ya tabianchi kutokana na kuwa sehemu ya kubwa ya kuweza kuingia katika ajenda hizo.
Na Andrew Chale, modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Vijana nchini wametakiwa kuchukua hatua ya kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa vitendo huku wakiombwa kuungana katika harakati za kupambana na Mabadilikio hayo ilikufanya idadi kubwa ya watu katika utekelezaji wa malengo mbalimbali...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziVIJANA WAUNGANA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI KATIKA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs)
Akizungumza na wadau wa Mabadiliko ya Tabianchi,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabianchi,Sixberty Mwanga amesema kuwa katika malengo 17 ya Maendeleo Endelevu Tanzania inatakiwa kushiriki na kukubali juu ya kuweza kupata fedha za kuweza kutekeleza malengo hayo.
Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) wa Malengo...
11 years ago
GPLWADAU WAKUTANA KUJADILI UTAYARI WA TANZANIA KUPOKEA NA KUTUMIA FEDHA ZA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI
11 years ago
MichuziWADAU WAKUTANA LEO KUJADILI UTAYARI WA TANZANIA KATIKA KUPOKEA NA KUTUMIA FEDHA ZA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taasisi za NPS na TYCEN zawakutanisha vijana kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabianchi
Picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa Vijana wa Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika kwenye ukumbi wa Eco Sanaa, Mikocheni Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeandaliwa na Global Power Shift Tanzania Chapter (NPS) kwa kushirikiana na Tanzania Youth Cultural Exchange Network (TYCEN).
Afisa Mwandamizi Mazingira, Abela Muyungi kutoka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) akifafanua jambo wakati wa mkutano huo.
Mratibu wa Mtandao wa mabadiliko ya Tabianchi CAN Tanzania,...
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
TANGO kuwa na mkutano wa hadhara Mnazi Mmoja leo kujadili malengo ya SDGS
Meneja wa sera na ushirikishaji wa TANGO, Zaa Twalangeti, akizungumza na Modewjiblog kwenye mahojiano maalum yaliyofanyika katika ofisi za TANGO jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mratibu wa kitaifa wa Mtandao wa Asasi zisizo za kiserikali za haki za binadamu kusini mwa Afrika(SAHRINGON), Bi. Martina Kabisama.
Na Mwandishi wetu
ASASI isiyokuwa ya kiserikali ya TANGO imezindua kampeni kubwa ya kuelimisha umma wa Tanzania kuhusu malengo 17 ya maendeleo endelevu kwa lengo la kuyafanya kumilikiwa...
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Coronavirus: Wasanii waungana kupambana dhidi Covid-19
10 years ago
Habarileo19 Dec
Wajadili mkakati kupambana na athari za tabianchi
MWITO umetolewa kwa kila Mtanzania kushiriki katika utekelezaji wa mkakati wa kupambana na mabadiliko ya tabianchi ili kuweza kupata maendeleo endelevu sambamba na kuhakikisha utunzaji wa mazingira unapewa kipaumbele.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Mabadiliko ya tabianchi kuathiri umeme
MABADILIKO ya tabianchi yametajwa kuchangia kwa kiwango kikubwa kupungua kwa uzalishaji wa umeme unaotokana na vyanzo vya maji, hivyo kukwamisha ukuaji wa uchumi wa nchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu...
11 years ago
Habarileo21 May
Mfuko wa mabadiliko ya tabianchi kuanzishwa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inatarajia kuanzisha Mfuko wa Fedha kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ambayo miongoni mwa athari zake ni uharibifu wa mazingira.