Taasisi za NPS na TYCEN zawakutanisha vijana kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabianchi
Picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa Vijana wa Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika kwenye ukumbi wa Eco Sanaa, Mikocheni Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeandaliwa na Global Power Shift Tanzania Chapter (NPS) kwa kushirikiana na Tanzania Youth Cultural Exchange Network (TYCEN).
Afisa Mwandamizi Mazingira, Abela Muyungi kutoka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) akifafanua jambo wakati wa mkutano huo.
Mratibu wa Mtandao wa mabadiliko ya Tabianchi CAN Tanzania,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Jan
FORUMCC yatoa mrejesho wa yaliyojiri kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi COP20
Taasisi isiyo ya kiserikali ya ForumCC imetoa mrejesho wa mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya tabia nchi duniani wa COP20 uliofanyika mwezi Desemba jijini Lima nchini Peru mwaka jana.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijni Dar es salaam Afisa Miradi wa ForumCC Fazal Issa amesema wanachama wa mkutano huo wamekubaliana kusaini mkataba mwaka huu jijini Paris Ufaransa wenye lengo la kupunguza gesi joto duniani na kusaidia upatikanaji wa rasilimali fedha na teknolojia katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4qKhrYtb_E/VCVFG1wxb0I/AAAAAAAGl5Y/k1FemJfwIpE/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4qKhrYtb_E/VCVFG1wxb0I/AAAAAAAGl5Y/k1FemJfwIpE/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Awr0NeI5Byw/VCVFHz8QPpI/AAAAAAAGl5c/rTPajyTLcZ0/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9e4Eac_cIAw/VCVFJliGF9I/AAAAAAAGl5o/4GIRmOEjp-g/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s72-c/unnamed+(58).jpg)
MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA UJERUMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s1600/unnamed+(58).jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Vijana wa Kitanzania waungana kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi malengo ya 17 ya (SDGs)
Mkurugenzi wa Asasi ya Mazingira, Elisha Sibale amesema kuwa vijana wanawajibu wa kuleta mabadiliko chanya katika mabadiliko ya tabianchi kutokana na kuwa sehemu ya kubwa ya kuweza kuingia katika ajenda hizo.
Na Andrew Chale, modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Vijana nchini wametakiwa kuchukua hatua ya kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa vitendo huku wakiombwa kuungana katika harakati za kupambana na Mabadilikio hayo ilikufanya idadi kubwa ya watu katika utekelezaji wa malengo mbalimbali...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HB_ntQUKe8c/U5l7LyJ_P7I/AAAAAAACjSs/7ZvH9-ROdJo/s72-c/DSC01538.jpg)
MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA MJINI BONN UJERUMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-HB_ntQUKe8c/U5l7LyJ_P7I/AAAAAAACjSs/7ZvH9-ROdJo/s1600/DSC01538.jpg)
9 years ago
MichuziVIJANA WAUNGANA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI KATIKA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs)
Akizungumza na wadau wa Mabadiliko ya Tabianchi,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabianchi,Sixberty Mwanga amesema kuwa katika malengo 17 ya Maendeleo Endelevu Tanzania inatakiwa kushiriki na kukubali juu ya kuweza kupata fedha za kuweza kutekeleza malengo hayo.
Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) wa Malengo...
10 years ago
GPLMKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
11 years ago
MichuziTanzania yashiriki mkutano wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi mjini Bonn,Ujerumani
10 years ago
MichuziMkutano wa Mwaka wa Wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi wafanyika jijini Dar es Salaam