Tanzania yashiriki mkutano wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi mjini Bonn,Ujerumani
Mwenyekiti wa Kundi la Afrika Nagmeldeen Elhassan kutoka Sudan akizungumza wakati wa mkutano wa kundi la Afrika uliokuwa ukitoa taarifa kwa ufupi kwa mawaziri wa mazingira Afrika.kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya makamu wa Rais -Muungano,Mh. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Balozi Ahmed Swaraldhab kutoka Wizara ya Mambo ya Nje nchini Sudan. Waziri Samia anahudhulia Mkutano huo kwa kumuwakilisha Waziri wa Mazingira Tanzania ambae ni mwenyekiti wa Mawaziri wa Mazingira Afrika.
Maafisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HB_ntQUKe8c/U5l7LyJ_P7I/AAAAAAACjSs/7ZvH9-ROdJo/s72-c/DSC01538.jpg)
MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA MJINI BONN UJERUMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-HB_ntQUKe8c/U5l7LyJ_P7I/AAAAAAACjSs/7ZvH9-ROdJo/s1600/DSC01538.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s72-c/unnamed+(58).jpg)
MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA UJERUMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s1600/unnamed+(58).jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 May
Tanzania yashiriki mkutano wa kujadili changamoto za maendeleo Afrika mjini Abijah-Ivory Coast
Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Katika Benki ya Maendeleo ya Afrika, Dkt. Servicus B.Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali akisikiliza majadiliano kwenye kikao cha magava wa nchi za Afrika wakati wa kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo Mjini Abijah-Ivory.
Rais wa Benki wa Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Donald Kaberuka akiwa kwenye kikao na Magavana wa Afrika wakijadiliana changamoto mbalimbali za maendeleo zilizojitoketeza katika...
9 years ago
MichuziWadau wakutana Dar kujadili Mkataba Mpya wa Mabadiliko ya Tabianchi ‘Paris Agreement’
Mkutano huo wa wadau umeandaliwa na ForumCC kwa kushirikiana na Rosa Luxemburg Stiftung (RLS) kwa lengo la kuangalia mazidi na mapungufu ya mkataba huo ambao umeweka historia mpya ya kuelekea juhudi za...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4qKhrYtb_E/VCVFG1wxb0I/AAAAAAAGl5Y/k1FemJfwIpE/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4qKhrYtb_E/VCVFG1wxb0I/AAAAAAAGl5Y/k1FemJfwIpE/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Awr0NeI5Byw/VCVFHz8QPpI/AAAAAAAGl5c/rTPajyTLcZ0/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9e4Eac_cIAw/VCVFJliGF9I/AAAAAAAGl5o/4GIRmOEjp-g/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wyxo27JVCUo/VNj4OGV4KqI/AAAAAAAHCrQ/AjV3gaPkzaE/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi mjini Geneva
![](http://2.bp.blogspot.com/-wyxo27JVCUo/VNj4OGV4KqI/AAAAAAAHCrQ/AjV3gaPkzaE/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
GPLMKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taasisi za NPS na TYCEN zawakutanisha vijana kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabianchi
Picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa Vijana wa Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika kwenye ukumbi wa Eco Sanaa, Mikocheni Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeandaliwa na Global Power Shift Tanzania Chapter (NPS) kwa kushirikiana na Tanzania Youth Cultural Exchange Network (TYCEN).
Afisa Mwandamizi Mazingira, Abela Muyungi kutoka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) akifafanua jambo wakati wa mkutano huo.
Mratibu wa Mtandao wa mabadiliko ya Tabianchi CAN Tanzania,...
9 years ago
MichuziMKUTANO MKUBWA WA MABADILIKO YA TABIANCHI KUFANYIKA 20 NOVEMBA 2015, KIJIJI CHA MAKUMBUSHO