MKUTANO MKUBWA WA MABADILIKO YA TABIANCHI KUFANYIKA 20 NOVEMBA 2015, KIJIJI CHA MAKUMBUSHO
Kutoka kulia ni Meneja wa Kampeni Haki ya Uchumi kutoka Oxfam Eluka Kibona, Ofisa msaidizi wa Programu kutoka Forum CC Jonathan Sawaya, aliyeshiriki shindano la Mama shujaa wa Chakula 2015 Edna Kiogwe, na Evelina Mageni ambaye ni Rais wa wakulima wanawake vijijini na alikuwa mshiriki wa shindano la Mama shujaa wa Chakula 2015.
Meneja wa Kampeni Haki ya Uchumi kutoka Oxfam Eluka Kibona akizungumzia juu ya mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika Novemba 20 2015 kaika Kijiji cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Kongamano la Mabadiliko ya Tabianchi lafanyika katika Kijiji cha Makumbusho, DAR
9 years ago
MichuziKONGAMANO LA MABADILIKO YA TABIANCHI LAFANYIKA KATIKA KIJIJI CHA MAKUMBUSHO,JIJINI DAR
Akizungumza Afisa Miradi Msaidizi wa Shirika la Forum CC,Jonathan Sawaya alisema asasi hizo zimeona ni vema kuwakilisha sauti za wakulima kwa serikali katika kuhakikisha hatua stahiki zinachukuliwa katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi.
Alisema asilimia kubwa ya wakulima wengi...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
UNDP yakabidhi mradi wa dola za marekani 150,000 wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kijiji cha Chamwino
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo akikata utepe kuzindua Kisima cha maji safi na salama katika kijiji cha Machali A wilayani Chamwino mkoa wa Dodoma mwishoni mwa juma lililopita.
Na Modewjiblog team, Chamwino
KIJIJI cha Manchali kilichopo wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, kimekabidhiwa mradi wa dola za Marekani 150,000 wenye lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.
Mradi huo ulikabidhiwa kijiji hicho na Mratibu wa mashirika ya Umoja wa...
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 watinga kambini kijiji cha Makumbusho jijini Dar
Bi. Sophia Mkazi na Mwenyeji wa Kijiji cha Kasanga Wilayani Kisalawe Mkoani Pwani akiwakaribisha wageni ambao ni Washiriki wa Shindano la mama shujaa wa Chakula kijijini huko katika sherehe ya iliyofanyika Kijiji cha Makumbusho Jijini Dar es salaam Jana. ambapo Programu mzima itaoneshwa katika Runinga ya ITV kila Siku kuanzia Tarehe 2.08.2015-21.08.2015 kuanzia saa 12 Jioni.
Bw. Godia Kaimu Mwenyekiti wa Kijiji cha Kasanga akiwakaribisha washiriki wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula...
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA KUWAKARIBISHA RASMI WASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 KIJIJI CHA MAKUMBUSHO JIJINI DAR, WAINGIA RASMI KAMBINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4qKhrYtb_E/VCVFG1wxb0I/AAAAAAAGl5Y/k1FemJfwIpE/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4qKhrYtb_E/VCVFG1wxb0I/AAAAAAAGl5Y/k1FemJfwIpE/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Awr0NeI5Byw/VCVFHz8QPpI/AAAAAAAGl5c/rTPajyTLcZ0/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9e4Eac_cIAw/VCVFJliGF9I/AAAAAAAGl5o/4GIRmOEjp-g/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s72-c/unnamed+(58).jpg)
MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA UJERUMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s1600/unnamed+(58).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HB_ntQUKe8c/U5l7LyJ_P7I/AAAAAAACjSs/7ZvH9-ROdJo/s72-c/DSC01538.jpg)
MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA MJINI BONN UJERUMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-HB_ntQUKe8c/U5l7LyJ_P7I/AAAAAAACjSs/7ZvH9-ROdJo/s1600/DSC01538.jpg)
10 years ago
GPLMKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR