KONGAMANO LA MABADILIKO YA TABIANCHI LAFANYIKA KATIKA KIJIJI CHA MAKUMBUSHO,JIJINI DAR
ASASI za Kiraia nchini zikiwemo Oxfam Tanzania, Forum CC na Norwegian Church Aid Actalliance zafanya kongamano la Kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa Chakula nchini.
Akizungumza Afisa Miradi Msaidizi wa Shirika la Forum CC,Jonathan Sawaya alisema asasi hizo zimeona ni vema kuwakilisha sauti za wakulima kwa serikali katika kuhakikisha hatua stahiki zinachukuliwa katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi.
Alisema asilimia kubwa ya wakulima wengi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Kongamano la Mabadiliko ya Tabianchi lafanyika katika Kijiji cha Makumbusho, DAR
9 years ago
MichuziMKUTANO MKUBWA WA MABADILIKO YA TABIANCHI KUFANYIKA 20 NOVEMBA 2015, KIJIJI CHA MAKUMBUSHO
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 watinga kambini kijiji cha Makumbusho jijini Dar
Bi. Sophia Mkazi na Mwenyeji wa Kijiji cha Kasanga Wilayani Kisalawe Mkoani Pwani akiwakaribisha wageni ambao ni Washiriki wa Shindano la mama shujaa wa Chakula kijijini huko katika sherehe ya iliyofanyika Kijiji cha Makumbusho Jijini Dar es salaam Jana. ambapo Programu mzima itaoneshwa katika Runinga ya ITV kila Siku kuanzia Tarehe 2.08.2015-21.08.2015 kuanzia saa 12 Jioni.
Bw. Godia Kaimu Mwenyekiti wa Kijiji cha Kasanga akiwakaribisha washiriki wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
UNDP yakabidhi mradi wa dola za marekani 150,000 wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kijiji cha Chamwino
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo akikata utepe kuzindua Kisima cha maji safi na salama katika kijiji cha Machali A wilayani Chamwino mkoa wa Dodoma mwishoni mwa juma lililopita.
Na Modewjiblog team, Chamwino
KIJIJI cha Manchali kilichopo wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, kimekabidhiwa mradi wa dola za Marekani 150,000 wenye lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.
Mradi huo ulikabidhiwa kijiji hicho na Mratibu wa mashirika ya Umoja wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rwTniHZa_os/VGzz-k3otZI/AAAAAAADNuc/XZbHIDeXr4o/s72-c/20141118_100555.jpg)
KONGAMANO LA VIJANA LA SIKU MOJA LAFANYIKA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-rwTniHZa_os/VGzz-k3otZI/AAAAAAADNuc/XZbHIDeXr4o/s1600/20141118_100555.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tpX4dp1a1Vw/VGzz-oIBz3I/AAAAAAADNug/CzharKwUq4U/s1600/20141118_101009.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7zQmDoSBhM0/U4rfBWQVKpI/AAAAAAAFm38/dFcKNSQ329g/s72-c/unnamed+(12).jpg)
kongamano la kimataifa la wanasayansi lafanyika jijini Dar es Salaam
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA KUWAKARIBISHA RASMI WASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 KIJIJI CHA MAKUMBUSHO JIJINI DAR, WAINGIA RASMI KAMBINI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI YAENDELEA KUFANA KATIKA MAKUMBUSHO NA NYUMBA YA UDAMADUNI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uq-_izXcjzU/U3hurfw68BI/AAAAAAAFjag/S4HD_w1XQTo/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aSxAmkIS9GM/U3hutR0sQ6I/AAAAAAAFjao/dqtuEsIHhwg/s1600/New+Picture+(3).png)
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kongamano la kwanza la wanawake wafanyabiashara sokoni Tanzania lafanyika jijini Dar
Ofisa Programu Dawati la Uangalizi wa Serikali wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Hussein Sengu (kulia) akitoa mada katika Kongamano la siku mbili la Wanawake Wafanyabiashara Sokoni Tanzania lililofanyika Dar es Salaam jana. Kongamano hilo lililowahusisha wanawake kutoka mikoa tisa ya Tanzania Bara...