MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA UJERUMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s72-c/unnamed+(58).jpg)
Baadhi ya washiriki watumishi kutoka katika serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Toka kushoto Bw. Fred manyika, Bi. Emelda Adam na Bw. Abdul Mhinte wakifuatilia mkutano wa kundi la Africa katika mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendela mjini Bonn, Ujerumani. Picha na Evelyn Mkokoi
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HB_ntQUKe8c/U5l7LyJ_P7I/AAAAAAACjSs/7ZvH9-ROdJo/s72-c/DSC01538.jpg)
MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA MJINI BONN UJERUMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-HB_ntQUKe8c/U5l7LyJ_P7I/AAAAAAACjSs/7ZvH9-ROdJo/s1600/DSC01538.jpg)
11 years ago
MichuziTanzania yashiriki mkutano wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi mjini Bonn,Ujerumani
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4qKhrYtb_E/VCVFG1wxb0I/AAAAAAAGl5Y/k1FemJfwIpE/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4qKhrYtb_E/VCVFG1wxb0I/AAAAAAAGl5Y/k1FemJfwIpE/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Awr0NeI5Byw/VCVFHz8QPpI/AAAAAAAGl5c/rTPajyTLcZ0/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9e4Eac_cIAw/VCVFJliGF9I/AAAAAAAGl5o/4GIRmOEjp-g/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taasisi za NPS na TYCEN zawakutanisha vijana kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabianchi
Picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa Vijana wa Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika kwenye ukumbi wa Eco Sanaa, Mikocheni Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeandaliwa na Global Power Shift Tanzania Chapter (NPS) kwa kushirikiana na Tanzania Youth Cultural Exchange Network (TYCEN).
Afisa Mwandamizi Mazingira, Abela Muyungi kutoka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) akifafanua jambo wakati wa mkutano huo.
Mratibu wa Mtandao wa mabadiliko ya Tabianchi CAN Tanzania,...
10 years ago
GPLMKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMkutano wa Mwaka wa Wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi wafanyika jijini Dar es Salaam
10 years ago
Dewji Blog10 Jan
FORUMCC yatoa mrejesho wa yaliyojiri kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi COP20
Taasisi isiyo ya kiserikali ya ForumCC imetoa mrejesho wa mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya tabia nchi duniani wa COP20 uliofanyika mwezi Desemba jijini Lima nchini Peru mwaka jana.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijni Dar es salaam Afisa Miradi wa ForumCC Fazal Issa amesema wanachama wa mkutano huo wamekubaliana kusaini mkataba mwaka huu jijini Paris Ufaransa wenye lengo la kupunguza gesi joto duniani na kusaidia upatikanaji wa rasilimali fedha na teknolojia katika...
9 years ago
MichuziMKUTANO MKUBWA WA MABADILIKO YA TABIANCHI KUFANYIKA 20 NOVEMBA 2015, KIJIJI CHA MAKUMBUSHO
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Tamko la asasi za kiraia kuhusu Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya tabianchi utakaofanyika New York
Asasi Nne zisizo za kiserikali zinazojishughulisha na kupambana na mabadiliko ya tabianchi nchini ForumCC, CAN, YouthCAN na Oxfam Tanzania zimetoa tamko la pamoja kuhusiana na Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika huko New York-Marekani tarehe 23/09/2014.
Katika tamko hilo ambalo pia limewasilishwa kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira, Dr. Eng. Binilith Mahenge, mambo matano yamependekezwa kuzingatiwa wakati wa mkutano huo ambao Rais wa...