Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TLP: Vijana msishabikie mabadiliko yasiyo na tija

Vijana wameshauriwa kuacha kushabikia mabadiliko yasiyokuwa na tija kwa kuamini yatawaletea maendeleo baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Msishabikie mabadiliko huwa majuto — Askofu

DSC07112

Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Africa Graduate cha nchini Sierra Leone, Askofu Profesa, Stephano Nzawa, akitoa nasaha zake kwenye hafla ya kumtunikia nishani ya heshima baada ya kubaini utendaji wake uliotawaliwa zaidi na  uaminifu.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATANZANIA wanatakiwa kuchukua tahadhari kubwa katika kushabikia mabadiliko ya aina yoyote, yakiwemo ya kisiasa kwa madai kwamba baadhi ya mabadiliko hayo hugeuka na kuwa majuto mjukuu.

Tahadhari hiyo imetolewa na askofu Profesa...

 

10 years ago

Mwananchi

Inashangaza kulalamikia mambo yasiyo na tija

Katika miaka ya sasa dhana ya kujifunza kutokana na makosa haipo tena. Kwa nini tujifunze kutokana na makosa wakati ukweli uko mbele yetu?

 

9 years ago

Raia Mwema

Majibizano yasiyo na tija hayataipa Z’bar wepesi

WIKI ijayo nitaendelea na makala ya wiki iliyopita juu ya uchaguzi huu uwe fundisho.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

ECOWAS YAIONYA BURKINA FASO HAITATAMBUA MABADILIKO YASIYO YA KIKATIBA

Waandamanaji wakipozi wakati wa vurugu za jana nchini Burkina Faso. Wanajeshi wakijaribu kutuliza vurugu za waandamanaji. JUMUIA ya Uchumi ya Nchi za Afrika Magharibi…

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge vijana; Ni haraka ya mabadiliko au wamepotoka?

>Mwamko wa kisiasa miongoni mwa vijana, pamoja na kutaka mabadiliko kumesababisha vijana wengi kuwania nafasi mbalimbali ukiwamo ubunge.

 

9 years ago

Mwananchi

Prof Jay: Vijana ndiyo watakaoleta mabadiliko

Mbunge mteule wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule, maarufu Profesa Jay amesema vijana ndiyo watakaoleta mabadiliko nchini.

 

9 years ago

Dewji Blog

Vijana wa Kitanzania waungana kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi malengo ya 17 ya (SDGs)

TABIA NCHI EMkurugenzi wa Asasi ya Mazingira, Elisha Sibale amesema  kuwa vijana wanawajibu wa kuleta mabadiliko chanya katika mabadiliko ya tabianchi kutokana na kuwa sehemu ya kubwa ya kuweza kuingia katika ajenda hizo.

Na Andrew Chale, modewjiblog

[DAR ES SALAAM] Vijana nchini wametakiwa kuchukua hatua ya kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa vitendo huku wakiombwa kuungana  katika harakati za kupambana na Mabadilikio  hayo ilikufanya idadi kubwa ya watu katika utekelezaji wa malengo mbalimbali...

 

11 years ago

Habarileo

‘Wanasiasa msishabikie Katiba kwa maslahi yenu’

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wabunge na wawakilishi wamewataka wanasiasa wenzao kutoshabikia muundo wa utawala kwenye Katiba mpya kwa maslahi ya kupata vyeo. Badala yake wamewataka kuhakikisha Katiba mpya, inagusa maisha ya watu na uchumi kiujumla ili kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini na kupata maendeleo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Taasisi za NPS na TYCEN zawakutanisha vijana kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabianchi

00

Picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa Vijana wa Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika kwenye ukumbi wa Eco Sanaa, Mikocheni Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeandaliwa na Global Power Shift Tanzania Chapter (NPS) kwa kushirikiana na Tanzania Youth Cultural Exchange Network (TYCEN).

Afisa Mwandamizi Mazingira, Abela Muyungi kutoka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) akifafanua jambo wakati wa mkutano huo.

Mratibu wa Mtandao wa mabadiliko ya Tabianchi CAN Tanzania,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani