Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msishabikie mabadiliko huwa majuto — Askofu

DSC07112

Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Africa Graduate cha nchini Sierra Leone, Askofu Profesa, Stephano Nzawa, akitoa nasaha zake kwenye hafla ya kumtunikia nishani ya heshima baada ya kubaini utendaji wake uliotawaliwa zaidi na  uaminifu.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATANZANIA wanatakiwa kuchukua tahadhari kubwa katika kushabikia mabadiliko ya aina yoyote, yakiwemo ya kisiasa kwa madai kwamba baadhi ya mabadiliko hayo hugeuka na kuwa majuto mjukuu.

Tahadhari hiyo imetolewa na askofu Profesa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

TLP: Vijana msishabikie mabadiliko yasiyo na tija

Vijana wameshauriwa kuacha kushabikia mabadiliko yasiyokuwa na tija kwa kuamini yatawaletea maendeleo baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wanasiasa msishabikie Katiba kwa maslahi yenu’

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wabunge na wawakilishi wamewataka wanasiasa wenzao kutoshabikia muundo wa utawala kwenye Katiba mpya kwa maslahi ya kupata vyeo. Badala yake wamewataka kuhakikisha Katiba mpya, inagusa maisha ya watu na uchumi kiujumla ili kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini na kupata maendeleo.

 

5 years ago

Michuzi

ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francisco amemteua Askofu Msaidizi Eusebius Nzigilwa kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Mpanda.

 

11 years ago

Michuzi

Hafla ya kumuaga Askofu wa jimbo la katoliki Dodoma,Mhashamu Baba Askofu Gervas John Nyaisonga yafana sana

Mamia ya wakotiliki wamejitokeza kumuaga Askofu wa jimbo la katoliki Dodoma,Mhashamu Baba Askofu Gervas John Nyaisonga ambaye anahamia Mpanda kwa ajili ya kuendelea na kazi Dini.Sherehe hiyo iliyotanguliwa na Ibada ilifanyika katika Kanisa kuu la Mtakatifu Paulo wa Msalaba mkoani Dodoma.
Mgeni rasmi katika sherehe hiyo ambayo alikuwepo Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pina,alikuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini,Mwadhama Polcarp Kardinal Pengo. Pia sherere hiyo ilihudhuriwa na Askofu...

 

11 years ago

GPL

HAFLA YA KUMUAGA ASKOFU WA JIMBO LA KATOLIKI DODOMA,MHASHAMU BABA ASKOFU GERVAS JOHN NYAISONGA YAFANA SANA ‏

Kiongozi wa kanisa Katoliki hapa nchini Mwadhama Polcarp Kardinali Pengo (kulia) akipeana mkono na Askofu Gervas John Nyaisonga. Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda akibusu Pete ya Kiongozi wa kanisa Katoliki hapa nchini Mwadhama Polcarp Kardinali Pengo.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Mabadiliko boraa ndiyo wanainchi wanayohitaji na sio bora mabadiliko-Dkt Magufuli

 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa  akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo,Dkt Magufuli aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwanini wanaume huwa wanabaka.?

Wanawake nchini Uturuki wameamua kuvunja ukimya na kuzungumza bayana kuhusiana na masuala ya unyanyasaji wa kijinsia na mashambulio ya kingono.

 

10 years ago

Michuzi

Askofu Dk. Charles Gadi atawazwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania, atunukiwa shahada mbili za udaktari Bagamoyo

 Maaskofu kutoka nchi mbalimbali wakiwasili katika viwanja vya Kanisa la Habari Njema kwa Wote, lililopo mpakani mwa Dar es Salaam na Bagamoyo, ambako kulifanyika sherehe za kumtawaza na kumtunuku shahada mbili za udaktari Askofu Dk. Charles Gadi Jumapili

Moja ya kikundi cha kwaya ambazo zilitumbuiza katika hafla hiyo.


 Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili

 Askofu Gadi akivikwa kofia kuashiria kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote...

 

10 years ago

Mwananchi

Je unapoeleza huwa unaeleweka kama ulivyokusudia?

Je, huwa unapata shida kuhakikisha kile unachomweleza mtu au kundi la watu kinaeleweka? Kama jibu lako ni ndiyo, mara ngapi unapowaeleza marafiki zako jambo fulani unagundua kuwa hawakuelewa vyema ujumbe wako kama ulivyokusudia? Kama huwa inatokea mara kwa mara umewahi kujiuliza ufanye nini ili kuepuka tatizo hili?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani