Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je unapoeleza huwa unaeleweka kama ulivyokusudia?

Je, huwa unapata shida kuhakikisha kile unachomweleza mtu au kundi la watu kinaeleweka? Kama jibu lako ni ndiyo, mara ngapi unapowaeleza marafiki zako jambo fulani unagundua kuwa hawakuelewa vyema ujumbe wako kama ulivyokusudia? Kama huwa inatokea mara kwa mara umewahi kujiuliza ufanye nini ili kuepuka tatizo hili?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kuna vitu vingi ambavyo nimefanya kama wa kwanza lakini huwa sipendi kuji-proud — Wakazi

Wakazi ni rapper ambaye ameshafanya vitu vingi vya kuweka rekodi kama msanii wa kwanza Tanzania kufanya lakini hapendi sana kujitangaza, kitu kinachofanya watu wasijue na wakati mwingine kumkosesha kupata pongezi anazostahili. “Kusema kweli sipendagi kujiproud, kuna vitu vingi ambavyo nimefanya kama wa kwanza,” alisema Wakazi kupitia kipindi cha Full Charge cha Pride Radio Mtwara. “Mbona […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwanini wanaume huwa wanabaka.?

Wanawake nchini Uturuki wameamua kuvunja ukimya na kuzungumza bayana kuhusiana na masuala ya unyanyasaji wa kijinsia na mashambulio ya kingono.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Wanawake huwa na mpango m'badala

Nusu ya wanawake huwa na mpango mbadala ama wa kando ambao wanaweza kukimbilia iwapo uhusiano wao utaharibika.

 

10 years ago

Mwananchi

Beyonce: Uzuri wa nje huwa unachuja

Mwanamuziki Beyonce anafahamika kwa umahiri wake wa kuteka vyombo vya vya habari wakati mwingine bila hata kufungua kinywa chake. Ndoa yake, ujauzito wake na kuachia albamu kimyakimya ni mambo ambayo yamewahi kuvunja rekodi za kuandikwa mara nyingi huku mwenyewe akibaki kimya.

 

10 years ago

Dewji Blog

Msishabikie mabadiliko huwa majuto — Askofu

DSC07112

Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Africa Graduate cha nchini Sierra Leone, Askofu Profesa, Stephano Nzawa, akitoa nasaha zake kwenye hafla ya kumtunikia nishani ya heshima baada ya kubaini utendaji wake uliotawaliwa zaidi na  uaminifu.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATANZANIA wanatakiwa kuchukua tahadhari kubwa katika kushabikia mabadiliko ya aina yoyote, yakiwemo ya kisiasa kwa madai kwamba baadhi ya mabadiliko hayo hugeuka na kuwa majuto mjukuu.

Tahadhari hiyo imetolewa na askofu Profesa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Wezi na wanyanyasaji huwa na ubongo mdogo

Watu ambao huiba, kunyanyasa watu na kusema uwongo katika maisha yao yote wanaweza kuwa na ubongo mdogo, watafiti wanasema.

 

10 years ago

GPL

BEN POL: HUWA SIWAACHI WANAWAKE, TUNAACHANA

Makala: SHANI RAMADHANI
NI siku nyingine tena tunapokutana na Benard Paul ‘Ben Pol’ kwenye Live Chumba cha Habari cha Global Publishers, ni mwanamuziki anayefanya vizuri katika soko la muziki wa Bongo Fleva kupitia wimbo wake wa Jikubali. Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ben Pol akijiandaa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani