Kuna vitu vingi ambavyo nimefanya kama wa kwanza lakini huwa sipendi kuji-proud — Wakazi
Wakazi ni rapper ambaye ameshafanya vitu vingi vya kuweka rekodi kama msanii wa kwanza Tanzania kufanya lakini hapendi sana kujitangaza, kitu kinachofanya watu wasijue na wakati mwingine kumkosesha kupata pongezi anazostahili. “Kusema kweli sipendagi kujiproud, kuna vitu vingi ambavyo nimefanya kama wa kwanza,” alisema Wakazi kupitia kipindi cha Full Charge cha Pride Radio Mtwara. “Mbona […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
JB: Vitu Vingi Huwa Naiga Kutoka kwa Baba
Leo ikiwa ni siku ya Kina baba ‘Father’s Day’, ambapo wakinababa duniani kote husherekea kila mwaka inapofika tarehe kama hii ya leo.
Mastaa na watu wengi wakawaida wamewatakia furaha na kujivunia baba zao, Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ni moja ya mastaa waliowapongeza na kumtakia baba yake furaha kwenye siku hii ya leo kwa kuweka picha akiwa na baba yake kwenye ukurasa wake mtandaoni na kueleza kuwa toboa kuwa kuna vitu vingi sana huwa ana jaribu kuviiiga kutoka kwa baba yake...
10 years ago
Bongo Movies02 Aug
Wastara: Yusuph Mlela Anafanana Vitu Vingi na Sajuki
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amefunguka na kumwagia sifa muigizaji mwenzake, Yusuph Mlela kuwa ni mtu ambaye anafanana vitu vingi na aliyekuwa mume wake, marehemu Sajuki na kusisitiza kuwa huwa hachoki kufanya naye kazi.
Kupitia ukurasa wakekwenye mtandao wa instagram, Wastara aliweka picah hiyo hapo juu na kuandika;
“Mama na mwana mama na baba nimeipenda kma ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu mpole ajui...
9 years ago
Bongo525 Aug
Ommy Dimpoz ataja vitu ambavyo muziki wa Uganda ni zaidi ya Tanzania
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Je unapoeleza huwa unaeleweka kama ulivyokusudia?
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Hongereni Azam FC, lakini mbele kuna kazi
11 years ago
Michuzi07 Feb
Mapambano dhidi ya ukeketaji Tanzania , safari ni ndefu lakini kuna matumaini
![Wasichana kama hawa wasikeketwe!](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/9Rn3kl-gHUwqruXs4DuJrk3kJdshbztvCNchpS5JQfq1f9Dh4Fs4swqHcv6qcwhvJK4KbdPp3tcTIwI6dULVpqGS5H8j2GII6etaaOV_ZkTTJh1PZzN9P-IwwMv1b1GZdkVdgt9cMdO-U188_1MzHA2j7DufQMtWUz4KvhO0wnM=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/02/Wasichana-kama-hawa-wasikeketwe.jpg)