Ommy Dimpoz ataja vitu ambavyo muziki wa Uganda ni zaidi ya Tanzania
Kwa mujibu wa Ommy Dimpoz soko la muziki wa Uganda ni imara na linalipa zaidi kuliko la Tanzania. Ommy Dimpoz akiwa na msanii wa Uganda, Eddy Kenzo. Ommy amedai kuwa mwaliko wake wa kwenda kutumbuiza kwenye show kubwa ya mshindi wa tuzo za BET mwaka huu, Eddy Kenzo kumemfumbua macho. Amedai kuwa wasanii wa Uganda […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo529 Apr
Wanjera ya Ommy Dimpoz yaingia kwenye chart ya muziki wa Afrika ya MTV Base
9 years ago
Bongo512 Oct
Vanessa Mdee awashauri wasanii kuwekeza kwenye muziki kama yeye, Diamond na Ommy Dimpoz
10 years ago
Bongo512 Dec
Diamond na Ommy Dimpoz watajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards 2015 za Uganda
9 years ago
Bongo526 Oct
Q-Chief ataja kitu kinachomuumiza zaidi kwenye muziki
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.
Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.
Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.
Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-FpzXNqOH2XM/VCqwGAeo7PI/AAAAAAAAXvQ/1Evd844EeWk/s72-c/IMG-20140928-WA0012.jpg)