Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Tunahitaji mabadiliko ya muundo wa kiuchumi’

Serikali imetakiwa kufanya mabadiliko ya mfumo wa kiuchumi ili uendane na maisha halisi ya Watanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji mabadiliko kwenye elimu

MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili ni kauli ya Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, kutaka elimu ipewe kipaumbele zaidi Kwa mujibu wa Sumaye, ubora wa elimu hauwezi kupatikana kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunahitaji mabadiliko ya mfumo haraka iwezekanavyo

Siasa nchini sasa zimefikia wakati wake, wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu.

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABDU IDD :Wapigakura wa Tanzania tunahitaji mabadiliko gani?

Wadau wa tafakuri, ni vizuri tukayatafakari mabadiliko, kabla ya kuingia kwenye hatua ya kupiga kura.

 

11 years ago

GPL

KINACHOSUMBUA SI MUUNDO WA SERIKALI BALI AINA GANI YA MUUNDO

NIMSHUKURU Mungu kwa kuweza kunipa uhai leo na kunifanya niweze kuyaandika haya niliyoyakusudia.
Mada kuu kila kona hivi sasa hapa nchini ni muundo gani wa serikali utafaa kufuatwa na nchi yetu.
Hakika kitu kinachosumbua vichwa vya wengi siyo muundo wa serikali, bali ni aina gani ya muundo wa serikali unaoweza kuunusuru muungano huu uliodumu kwa miaka 50. Wapo watu wanaotaka iwepo serikali moja japokuwa hili nina uhakika kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Tanzania inahitaji mabadiliko ya kiuchumi’

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa katika sekta ya uchumi yatakayosaidia kuharakisha maendeleo ya viwanda hali ambayo itasaidia kutatua tatizo la ajira kwa wananchi wake...

 

5 years ago

Michuzi

JIANDAENI KIUCHUMI KULETA MABADILIKO PAMOJA NA KULINDA AFYA ZENU JUU YA COVID -19


Baadhi ya waumini wakiwa katika Ibada ya pasaka katika kanisa Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Mlandizi Dayosisi ya Magharibi na Pwani Picha na Vero Ignatus.
Baadhi ya waumini wakiwa katika Ibada ya pasaka katika kanisa Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Mlandizi Dayosisi ya Magharibi na Pwani wakiwa wamekaa bila kusongamana.Picha na Vero Ignatus.


Na.Vero Ignatus ,Mlandizi Pwani

Katika kuadhimisha sikukuu ya pasaka inayoonyesha upekee wa Imani ya Kikristo duniani Jamii imetakiwa kujikita...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mabadiliko boraa ndiyo wanainchi wanayohitaji na sio bora mabadiliko-Dkt Magufuli

 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa  akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo,Dkt Magufuli aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano...

 

10 years ago

Mwananchi

Muundo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano

Wakati Bunge Maalumu la Katiba likiendelea na vikao vya kamati zake, sintofahamu juu ya nini hatima ya mawazo ya wananchi kama yalivyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba inaendelea kuibuka.

 

11 years ago

Mwananchi

Muundo wa Muungano waipasua CWT

Msimamo wa Makamu wa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Honoratha Chitanda kuunga mkono serikali moja ndani ya Bunge Maalumu la Katiba huenda ukamgharimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani