‘Tanzania inahitaji mabadiliko ya kiuchumi’
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa katika sekta ya uchumi yatakayosaidia kuharakisha maendeleo ya viwanda hali ambayo itasaidia kutatua tatizo la ajira kwa wananchi wake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Magufuli: Nchi inahitaji mabadiliko
Na Bakari Kimwanga, Mbeya
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema taifa linahitaji mabadiliko ya kiuongozi chini yake na siyo kwa kubadili chama kilichopo madarakani.
Amesema pamoja na kuwa kuna wimbi la watu wanaotaka mabadiliko, ni vema wakatambua kwamba yatapatikana kupitia CCM na si nje ya chama hicho.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mbalizi, Mbeya Vijijini na Wilaya ya Chunya mkoani hapa kwa nyakati...
9 years ago
Mwananchi28 Aug
‘Tunahitaji mabadiliko ya muundo wa kiuchumi’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Io_aUYgdD_I/XpXnEixyKvI/AAAAAAAAQrk/QdiSvYoS08ULGL1jIMi8bYffotLdePa6gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200412_104439_522.jpg)
JIANDAENI KIUCHUMI KULETA MABADILIKO PAMOJA NA KULINDA AFYA ZENU JUU YA COVID -19
![](https://1.bp.blogspot.com/-Io_aUYgdD_I/XpXnEixyKvI/AAAAAAAAQrk/QdiSvYoS08ULGL1jIMi8bYffotLdePa6gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200412_104439_522.jpg)
Baadhi ya waumini wakiwa katika Ibada ya pasaka katika kanisa Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Mlandizi Dayosisi ya Magharibi na Pwani Picha na Vero Ignatus.
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwXFwly2DpQ/XpXmclAhQsI/AAAAAAAAQrU/Mca-YN8a5v40fD0isFKXlfzcIHA2R2kuwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200412_104432_490%2B%25282%2529.jpg)
Baadhi ya waumini wakiwa katika Ibada ya pasaka katika kanisa Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Mlandizi Dayosisi ya Magharibi na Pwani wakiwa wamekaa bila kusongamana.Picha na Vero Ignatus.
Na.Vero Ignatus ,Mlandizi Pwani
Katika kuadhimisha sikukuu ya pasaka inayoonyesha upekee wa Imani ya Kikristo duniani Jamii imetakiwa kujikita...
10 years ago
Habarileo10 Jun
‘Tanzania inahitaji rais mwanamke’
MGOMBEA Urais wa Tanzania ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Amina Salum Ali amesema wanawake hawana sifa ya ufisadi na ufujaji wa mali za umma na kwamba Tanzania inahitaji Rais Mwanamke.
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
‘Tanzania inahitaji wafanyakazi wenye viwango’
BALOZI wa Japan hapa nchini, Masaki Okada amesema Tanzania inahitaji wafanyakazi wenye ubora na viwango stahiki kutokana na ushindani uliopo katika soko la ajira kwa ajili ya kuleta maendeleo. Kauli...
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Siyantemi : Tanzania inahitaji sera makini
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Tanzania inahitaji watumishi wafanyakazi wa aina gani?
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
MGOGORO WA UONGOZI… Tanzania inahitaji fikra mbadala
UONGOZI kwa maana rahisi ni kuonyesha njia kufikia utashi wa maendeleo endelevu ya kijamii, kiuchumi na kisiasa katika kuhakikisha kwamba siasa inautumikia uchumi na kuleta manufaa kwa watu na nchi...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Tanzania inahitaji walimu laki nne ifikapo mwaka 2030