MGOGORO WA UONGOZI… Tanzania inahitaji fikra mbadala
UONGOZI kwa maana rahisi ni kuonyesha njia kufikia utashi wa maendeleo endelevu ya kijamii, kiuchumi na kisiasa katika kuhakikisha kwamba siasa inautumikia uchumi na kuleta manufaa kwa watu na nchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Aug
Mgogoro wa uongozi wakumba Taleban
11 years ago
Habarileo17 Jan
Mgogoro wa uongozi wafukuta Arusha
MGOGORO wa uongozi mkoani Arusha umefikia hatua mbaya ambapo sasa ni wazi Mkurugenzi wa Jiji, Sipora Liana, hawezi kuiva chungu kimoja na Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Meya na Baraza la Madiwani. Mkuu wa Mkoa, Magesa Mulongo amegonga mwamba baada ya Liana kupuuza agizo lake alilotaka litekelezwe ndani ya siku sita.
10 years ago
Habarileo10 Jun
‘Tanzania inahitaji rais mwanamke’
MGOMBEA Urais wa Tanzania ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Amina Salum Ali amesema wanawake hawana sifa ya ufisadi na ufujaji wa mali za umma na kwamba Tanzania inahitaji Rais Mwanamke.
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
‘Tanzania inahitaji mabadiliko ya kiuchumi’
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa katika sekta ya uchumi yatakayosaidia kuharakisha maendeleo ya viwanda hali ambayo itasaidia kutatua tatizo la ajira kwa wananchi wake...
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Siyantemi : Tanzania inahitaji sera makini
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
‘Tanzania inahitaji wafanyakazi wenye viwango’
BALOZI wa Japan hapa nchini, Masaki Okada amesema Tanzania inahitaji wafanyakazi wenye ubora na viwango stahiki kutokana na ushindani uliopo katika soko la ajira kwa ajili ya kuleta maendeleo. Kauli...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Tanzania inahitaji watumishi wafanyakazi wa aina gani?
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Tanzania inahitaji walimu laki nne ifikapo mwaka 2030
10 years ago
MichuziTANZANIA INAHITAJI MASTER PLAN YA NCHI NZIMA - WAZIRI MKUU
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatatu, Novemba 10, 2014) wakati akifungua warsha ya siku tatu ya kuwajengea uwezo Mameya, Wenyeviti na Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya na Manispaa za Miji kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara.
“Sasa hivi hapa nchini tuna tatizo la ukuaji mkubwa wa miji yetu na Dar es Salaam ni mmojawapo. Hakuna...