TANZANIA INAHITAJI MASTER PLAN YA NCHI NZIMA - WAZIRI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-LAU-B6tA-7I/VGC9J4kvvAI/AAAAAAAGwaI/lUtWESi1ZXg/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Tanzania kama nchi inapaswa kuwa na mpango wa kuendeleza mipango miji (master plan) wa nchi nzima unaozingatia ukuaji wa miji yetu.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatatu, Novemba 10, 2014) wakati akifungua warsha ya siku tatu ya kuwajengea uwezo Mameya, Wenyeviti na Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya na Manispaa za Miji kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara.
“Sasa hivi hapa nchini tuna tatizo la ukuaji mkubwa wa miji yetu na Dar es Salaam ni mmojawapo. Hakuna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Kitabu cha Kigwangalla “Tanzania tuitakayo” kusambazwa nchi nzima
Na Zainul Mzige wa modewjiblog
Mbunge wa Nzega ambaye amejitokeza kutangaza nia ya kugombea urais nchini ambaye pia amekuwa mtetezi mkuu wa wananchi wa jimboni kwake kupitia migodi mbalimbali Mh. Dk. Hamisi Kigwangalla (Mb) ameandika kitabu kiitwacho “Tanzania tunayoitaka” yakiwa ni mawazo yake binafsi ambacho anatarajia kukisambaza Tanzania nzima.
Kigwangalla katika kitabu chake amezungumzia fikra mpya za kuleta mapinduzi ya kiuchumi na kijamii kutokana na urithi wa rasilimali, utamaduni...
10 years ago
Vijimambo16 Apr
KITABU CHA KIGWANGALLA "TANZANIA TUITAKAYO" KUSAMBAZWA NCHI NZIMA
![CCiV3FEWIAEKkRE](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/CCiV3FEWIAEKkRE.jpg)
10 years ago
TheCitizen23 Jun
Delay Kigamboni master plan, government urged
9 years ago
IPPmedia28 Dec
New Dar master plan to render millions homeless
IPPmedia
IPPmedia
A new Dar es Salaam master plan which has just come off the drawing board and is scheduled to be put into effect in June, next year, is likely to see more than 3.6 million Dar es Salaam residents rendered homeless on the ground of encroaching on ...
Land amounts to great deal of selfishnessDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 2
5 years ago
Rush The Kop17 Feb
Jurgen Klopp’s master plan is to win with minimum effort
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Rais Kikwete akutana na Waziri Mkuu wa Australia na Gavana Mkuu wa nchi hiyo
![IMGL0560](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0560.jpg)
![IMGL0623 (2)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0623-2.jpg)
![IMGL0758](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0758.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
9 years ago
TheCitizen01 Dec
Master plan task for Mwanza, Arusha set to cost Sh16 billion