Kinana ataka mabadiliko mfumo utumishi wa umma
KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana amesema kuna haja ya mfumo wa utumishi wa umma kubadilishwa, ikiwa ni njia ya kuhakikisha wanawajibika kwa wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Oct
JK ataka weledi utumishi wa umma
UTUMISHI wa Umma nchini umetakiwa kubadilika katika utendaji wao ili kuwa wawezeshaji zaidi badala ya wakwamishaji katika kutoa maamuzi muhimu ya utendaji wa shughuli mbalimbali nchini.
10 years ago
Habarileo24 Jun
Mwinyi ataka maboresho utumishi wa umma
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka watumishi wa umma kufanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na washiriki katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, ili kuwa na utumishi uliotukuka kwa ustawi wa Taifa.
11 years ago
Michuzi30 Apr
TAARIFA YA MABADILIKO YA ANUANI YA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA UTUMISHI HOUSE 8 BARABARA YA KIVUKONI 11404 DAR ES SALAAM au PRESIDENT’S OFFICE, PUBLIC SERVICE MANAGEMENT UTUMISHI HOUSE 8 KIVUKONI ROAD 11404 DAR ES SALAAM
Anuani hii inachukua nafasi ya Sanduku la Posta 2483, Dar es salaam. Hivyo, mawasiliano yote yazingatie...
10 years ago
Michuzi05 May
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Kinana atinga Masasi, ataka CCM iendelee kuibana serikali juu ya wafujaji wa fedha za umma
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ufyatuaji matofali kwa kutumia mashine ya kujengea ofisi ya CCM Wilaya ya Masasi, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-duns1XOpzHQ/VRT7Wzg9VaI/AAAAAAAHNjY/KXHNAWrPKfA/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
KATIBU MKUU UTUMISHI GEORGE YAMBESI ASTAAFU UTUMISHI WA UMMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-duns1XOpzHQ/VRT7Wzg9VaI/AAAAAAAHNjY/KXHNAWrPKfA/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SxNA-brbblY/VRT7WxYebMI/AAAAAAAHNjc/fQVdKoy45cY/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
10 years ago
MichuziUTUMISHI YAKABIDHIWA ZAWADI YA USHIRIKI WA TANZANIA KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA BARANI AFRIKA YALIYOFANYIKA CONGO BRAZAVILLE
5 years ago
MichuziTUME YA UTUMISHI WA UMMA KUANZA KUSIKILIZA KERO NA MALALAMIKO YA WATUMISHI WA UMMA
Tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona inapewa kipaumbele katika kipindi hiki. Tunatakiwa kuzingatia Miongozo inayotolewa na Wizara ya Afya pamoja na maelekezo ya Viongozi Wakuu wa Nchi. Aidha, watumishi...