Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAFAKURI YA ABUU IDDI: Watanzania tungojee mabadiliko au tujibadilishe?

Wadau wa tafakuri tukikubaliana kwamba tunahitaji mabadiliko, ni lazima tutafakari kwanza ni nani mwenye wajibu wa kutuletea hayo mabadiliko. Ukweli ni kwamba mabadiliko tunayoyahitaji ni kutokea kwenye mafanikio kidogo kwenda kwenye mafanikio zaidi au kutokea kwenye dhiki kwenda kwenye faraja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABU IDDI: Je, tuwapongeze au tuwakemee

Wadau wa tafakuri hebu leo tulijadili tukio la Wabunge wanaotoka katika vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya fujo ndani ya Bunge bila ya nidhamu tena mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABU IDDI: Je, Lowassa ameuimarisha upinzani au ameudhoofisha?

Tukiutafakari upinzani katika nchi yetu hasa kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu, tunatakiwa tuutazame katika sura nne tofauti:

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABU IDDI: Madhara ya kuruhusu siasa vyuoni

Kama kuna  bomu ambalo tunatakiwa kulitafakari ili tulipoze au  tungojee lilipuke lenyewe na kutuletea madhara,  ni kuwapo kwa  harakati za vyama vya siasa katika vyuo vya elimu ya juu nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABU IDDI: Ni kura za Chadema, Ukawa au Lowassa?

Mazingira ya wapiga kura wa Tanzania yamegawanyika katika makundi makuu matatu:

 

10 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABU IDDI: Kofia mbili CCM zitenganishwe?

Kwa muundo wa sasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa nchi tulie naye hivi sasa ndiye pia mwenyekiti wa chama hicho kwa ngazi ya Taifa.

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABU IDDI :Mawaziri watamuangusha Rais Magufuli au watamnyanyua?

Wadau wa tafakuri, leo nataka tuutafakari mzigo mkubwa walioubeba mawaziri wa Serikali ya Rais John Magufuli ambao ni kuhakikisha hawamuangushi katika yale aliyowaamini na kuwateua kushika nyadhifa hizo ili na yeye asiwaangushe Watanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABDU IDD :Wapigakura wa Tanzania tunahitaji mabadiliko gani?

Wadau wa tafakuri, ni vizuri tukayatafakari mabadiliko, kabla ya kuingia kwenye hatua ya kupiga kura.

 

9 years ago

Habarileo

‘Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo’

MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema ushindi wa kishindo wa Dk John Magufuli, ni ishara kuwa Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo na si bora mabadiliko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani