TAFAKURI YA ABU IDDI: Je, Lowassa ameuimarisha upinzani au ameudhoofisha?
Tukiutafakari upinzani katika nchi yetu hasa kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu, tunatakiwa tuutazame katika sura nne tofauti:
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Aug
TAFAKURI YA ABU IDDI: Ni kura za Chadema, Ukawa au Lowassa?
Mazingira ya wapiga kura wa Tanzania yamegawanyika katika makundi makuu matatu:
9 years ago
Mwananchi25 Nov
TAFAKURI YA ABU IDDI: Je, tuwapongeze au tuwakemee
Wadau wa tafakuri hebu leo tulijadili tukio la Wabunge wanaotoka katika vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya fujo ndani ya Bunge bila ya nidhamu tena mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
10 years ago
Mwananchi12 Aug
TAFAKURI YA ABU IDDI: Kofia mbili CCM zitenganishwe?
Kwa muundo wa sasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa nchi tulie naye hivi sasa ndiye pia mwenyekiti wa chama hicho kwa ngazi ya Taifa.
9 years ago
Mwananchi02 Sep
TAFAKURI YA ABU IDDI: Madhara ya kuruhusu siasa vyuoni
Kama kuna bomu ambalo tunatakiwa kulitafakari ili tulipoze au tungojee lilipuke lenyewe na kutuletea madhara, ni kuwapo kwa harakati za vyama vya siasa katika vyuo vya elimu ya juu nchini.
9 years ago
Mwananchi23 Dec
TAFAKURI YA ABU IDDI :Mawaziri watamuangusha Rais Magufuli au watamnyanyua?
Wadau wa tafakuri, leo nataka tuutafakari mzigo mkubwa walioubeba mawaziri wa Serikali ya Rais John Magufuli ambao ni kuhakikisha hawamuangushi katika yale aliyowaamini na kuwateua kushika nyadhifa hizo ili na yeye asiwaangushe Watanzania.
9 years ago
Mwananchi09 Sep
TAFAKURI YA ABU IDD: Tumjibu au tumpuuze Dk Wilbrod Slaa?
Tafakuri yetu leo inaangazia hoja ya kuijibu au kutojibu hotuba iliyotolewa hivi karibuni na aliyekuwa mwanachama na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Wilbrod Peter Slaa.
9 years ago
Mwananchi11 Nov
TAFAKURI YA ABUU IDDI: Watanzania tungojee mabadiliko au tujibadilishe?
Wadau wa tafakuri tukikubaliana kwamba tunahitaji mabadiliko, ni lazima tutafakari kwanza ni nani mwenye wajibu wa kutuletea hayo mabadiliko. Ukweli ni kwamba mabadiliko tunayoyahitaji ni kutokea kwenye mafanikio kidogo kwenda kwenye mafanikio zaidi au kutokea kwenye dhiki kwenda kwenye faraja.
10 years ago
Mwananchi29 Jul
LOWASSA CHADEMA: Fitina zimempeleka Lowassa upinzani
>Hatimaye waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa amekitosa chama chake cha CCM na kutua Chadema. Huko ndiko anatarajia kuendelea na safari yake ya matumaini aliyoianza na sasa anatarajiwa kupambana na ikiwezekana kukidhoofisha chama kilichomlea katika harakati za kuingia Ikulu.
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania