Hussein Idd: Mfanyabiashara aliyekombolewa na mabadiliko ya kidigitali
SI jambo rahisi kuamini ukiambiwa kuwa kuna wafanyabiashara wanaendesha maisha yao kwa kuuza bidhaa kwa njia ya mtandao.
Unaweza kujiuliza ni kwa namna gani anaweza kupata wateja, hasa ukizingatia kuwa watu wengi nchini si wafuatiliaji wa masuala ya mitandao.
Hussein Idd ni mmoja kati ya watu wanaonufaika na biashara hiyo. Kijana huyu anaiona mitandao ya kijamii kama miongoni mwa mambo yaliyomfanya afanikiwe maishani.
Idd ni muhitimu wa fani ya Teknolojia ya Mawasiliano katika chuo cha Learn...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Oct
TAFAKURI YA ABDU IDD :Wapigakura wa Tanzania tunahitaji mabadiliko gani?
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-p_GlH3MVqhc/XvTK5QCUPHI/AAAAAAAEYhk/dVQ13vcz0YYALhbhuQ7d25XU1OjfUYxZQCLcBGAsYHQ/s72-c/641846d6-53f2-40f6-923a-532341377a41.jpg)
IDD HAMAD IDD AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-p_GlH3MVqhc/XvTK5QCUPHI/AAAAAAAEYhk/dVQ13vcz0YYALhbhuQ7d25XU1OjfUYxZQCLcBGAsYHQ/s640/641846d6-53f2-40f6-923a-532341377a41.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mAkEKFjQKks/XvTLb2Xl5BI/AAAAAAAEYhs/YIdAKE6eG8Ewq3FsriYU0RQ6XWeCkAKigCLcBGAsYHQ/s640/ndg.%2Bidd%2Bhamad%2Bidd%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YbuRq0PNr5I/XvSxgROalNI/AAAAAAAEIA8/uL2P8-XAkIwaOeJ5batzsChk3krO_qrNgCLcBGAsYHQ/s72-c/5a8dc6a5-a058-4415-9fb1-b34e3c142f18-768x512.jpg)
WATEJA WA HALOTEL KIDIGITALI ZAIDI NA HALOPESA APP
![](https://1.bp.blogspot.com/-YbuRq0PNr5I/XvSxgROalNI/AAAAAAAEIA8/uL2P8-XAkIwaOeJ5batzsChk3krO_qrNgCLcBGAsYHQ/s640/5a8dc6a5-a058-4415-9fb1-b34e3c142f18-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8305cbaa-23a6-4f9e-951c-67c64a141123-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LO__UEOfwYw/XtI5ZwwDPBI/AAAAAAALsEk/ev2-W4Bf1W4758ZLlYCw8PROHX-MJE_HwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200512-WA0039.jpg)
MASHAURI 4,711 YAENDESHWA KIDIGITALI KIPINDI CHA CORONA
Mahakama ya Tanzania imefanikiwa kuendesha mashauri 4,711 kwa njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama ‘Video Conference’ ikiwa ni hatua mojawapo za kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID 1 9 katika kipindi cha miezi miwili.
Mashauri hayo yamesikilizwa kwa njia hiyo, kufuatia utekelezaji wa agizo la Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Ibrahim Juma alilolitoa Machi 23, mwaka huu la kutumia Teknolojia ya Habari na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TS-XtgtA_yo/XvC3xvUnWdI/AAAAAAAEH9s/SaHGur3U3LIKpeeA0tGzTqMdMbbLBHi8QCLcBGAsYHQ/s72-c/exim%2Bdig..jpg)
Benki Ya Exim Yazindua Kampeni Kuhamasisha Huduma Za Kidigitali
Kampeni hiyo imekuja kipindi ambacho jamii inapitia mabadiliko kuelekea huduma za kidigitali hususani katika huduma za kifedha na manunuzi, hali iliyochochewa zaidi na mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eFGSspYNeP8/VDvatgElisI/AAAAAAAGp0A/D0mUJMlGoNY/s72-c/c91UHRGs.jpeg)
VODACOM KUWAPATIA WATEJA WAKE MUZIKI WA KIDIGITALI KUTOKA DEEZER
![](http://1.bp.blogspot.com/-eFGSspYNeP8/VDvatgElisI/AAAAAAAGp0A/D0mUJMlGoNY/s1600/c91UHRGs.jpeg)
Deezer ni kampuni kubwa ya kuuza muziki kwa njia ya kidigitali nchini Afrika ya kusini.Katika kusherehekea ushirikiano huu na Vodacom wateja wapatao 17 milioni wa Vodacom watajipatia offer ya kipindi cha mwezi mmoja ya kupakua bure muziki wa...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Mabadiliko boraa ndiyo wanainchi wanayohitaji na sio bora mabadiliko-Dkt Magufuli
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V3NXh4LQFcI/VfMYKjOzTtI/AAAAAAAC-9E/NPLO1xXAxGE/s640/_MG_5242.jpg)