MASHAURI 4,711 YAENDESHWA KIDIGITALI KIPINDI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LO__UEOfwYw/XtI5ZwwDPBI/AAAAAAALsEk/ev2-W4Bf1W4758ZLlYCw8PROHX-MJE_HwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200512-WA0039.jpg)
Na Magreth Kinabo–Mahakama
Mahakama ya Tanzania imefanikiwa kuendesha mashauri 4,711 kwa njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama ‘Video Conference’ ikiwa ni hatua mojawapo za kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID 1 9 katika kipindi cha miezi miwili.
Mashauri hayo yamesikilizwa kwa njia hiyo, kufuatia utekelezaji wa agizo la Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Ibrahim Juma alilolitoa Machi 23, mwaka huu la kutumia Teknolojia ya Habari na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Kutokaribiana kipindi hiki cha corona ni umbali gani?
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Hofu ya kuenea kwa corona kipindi cha Ramadhani
5 years ago
CCM Blog22 May
MAPIGO 6 YA JPM KWA MABEBERU KATIKA KIPINDI HIKI CHA CORONA.
![Image may contain: 1 person, sitting](https://scontent.fdar5-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-9/98002708_103119514753779_4616803184197763072_n.jpg?_nc_cat=100&_nc_sid=ca434c&_nc_eui2=AeGQFm1U9TEk08sOVemjHMNXi2caL-vzTC-LZxov6_NMLxo263nS_opmNFcxsRyqVZpS5VcHTnbFAOc6_WS7ZHoG&_nc_ohc=UcP5Mo05-6kAX8dxKgc&_nc_ht=scontent.fdar5-1.fna&oh=06849f0844a2112d2455b56c04351aa8&oe=5EECCB69)
*PIGO LA KWANZA HILO*2:Barakoa kutoka nje zikaanza kuwa adimu na kupanda bei JPM akasema watanzania kila mtu ashone yake zikashuka bei zikauzwa hadi buku
*PIGO LA PILI HILO*3: Wakaleta Lockdown ili tujifungie tusifanye kazi watuletee misaada kwa masharti yao JPM akasema no HAPA KAZI TU wakashindwa.
*PIGO LA TATU HILO*4:Wakaleta vipimo feki ili watanzania wengi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QW9PkPNGw8s/XpV1VAnObKI/AAAAAAAA3h4/IaHY3uLAu3cSK1Z1lNCc4TYxuodINj_yQCNcBGAsYHQ/s72-c/Reshma.jpeg)
BRIGHTERMONDAY TANZANIA YAJA NA MPANGO KUSAIDIA BIASHARA KIPINDI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QW9PkPNGw8s/XpV1VAnObKI/AAAAAAAA3h4/IaHY3uLAu3cSK1Z1lNCc4TYxuodINj_yQCNcBGAsYHQ/s640/Reshma.jpeg)
Reshma Bharmal-Shariff, Ofisa Mtendaji Mkuu BrighterMonday Tanzania.
KAMPUNI ya ajira ya BrighterMonday Tanzania imezindua mpango unaoitwa 'Umoja Wakati wa Shida ' ambao utatoa nafasi kwa watu binafsi au kampuni kutangaza ajira bure katika kipindi hiki ambacho nchi inapambana na maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kupitia kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wake, Reshma Bharmal-Shariff ilieleza kuwa kampeni hiyo inalenga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sy7McT45ZoI/XsVwKwfE6II/AAAAAAALrBM/54t5sZGHl0g-fcaR8quxQZXx5Pt7kDHZwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_5360AA-768x512.jpg)
SERIKALI INAHAKIKISHA WALENGWA WA CHANJO WANAFIKIWA KATIKA KIPINDI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sy7McT45ZoI/XsVwKwfE6II/AAAAAAALrBM/54t5sZGHl0g-fcaR8quxQZXx5Pt7kDHZwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_5360AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG_5378AAAA-1024x682.jpg)
Alama zinazoelekeza mteja anayefika kliniki ya hospitali ya wilatya Mlandizi kukaa kwa umbali unaostahili
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG_5385AAA-1024x682.jpg)
Wazazi waliofika kwenye hospitali ya mlandizi walivyokaa kwa kuzingatia umbali kati ya mtu na mtu
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG_5398AAA-1024x682.jpg)
Ukaguzi ukiendelea kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5IyMxvwLxHY/XrGwfI3sfUI/AAAAAAALpQI/eo0KvUSp2F4JzjsLM8RFmE5Ad7hlrDKIQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-C.jpg)
SIMIYU YAZINDUA MKAKATI WA WANAFUNZI KUSOMA KIPINDI CHA LIKIZO YA TAHADHARI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5IyMxvwLxHY/XrGwfI3sfUI/AAAAAAALpQI/eo0KvUSp2F4JzjsLM8RFmE5Ad7hlrDKIQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-C.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-D.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZErfBrCSHg/XqnUhmMjt0I/AAAAAAALols/_uCOnwSAfYYMojdmxnDbvFB8d00qhG5qwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B10.16.23%2BPM.jpeg)
JAFO ATANGAZA MPANGO WA WANAFUNZI KUJISOMEA KIELEKTRONIKI KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZErfBrCSHg/XqnUhmMjt0I/AAAAAAALols/_uCOnwSAfYYMojdmxnDbvFB8d00qhG5qwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B10.16.23%2BPM.jpeg)
Aidha, amewataka wanafunzi kuzingatia ratiba ya masomo inayotolewa ili wasikose vipindi vinavyorushwa kwenye redio,runinga na mitandao ya kijamii.
Jafo ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari...
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Jinsi ya kulinda afya ya akili kipindi hiki cha mlipuko wa virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IlGNHgsiky0/XpGpvDLM2kI/AAAAAAAAksI/Lw4RfP52mqYpqttQoV7ON1I3dx0AnojZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200409-WA0041.jpg)
MBUNGE KINGU AUNGA MKONO AGIZO LA RAIS KUCHAPA KAZI KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IlGNHgsiky0/XpGpvDLM2kI/AAAAAAAAksI/Lw4RfP52mqYpqttQoV7ON1I3dx0AnojZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0041.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dua2Ma9Z88I/XpGpvU5UZHI/AAAAAAAAksE/vEKhlEI_dF8w2FldTVB_Qcx0yKDLl0TRQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0042.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-E5imuJPMzd8/XpGpvZskT0I/AAAAAAAAksA/LtEAhoFGFmEPIFp_o0SJYpjT6HuLbLCoACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0044.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BK118IChCpA/XpGpwYn8h-I/AAAAAAAAksM/nXy_erFCfH0nljwwq1jRGVKeaJMvNewTQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0045.jpg)
Na Dotto Mwaibale, Singida.
MBUNGE wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu ameendelea kuunga mkono agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kuwataka wananchi kote nchini kuendelea kuchapa kazi katika kipindi hiki ambacho...