Random Thoughts: Hatuwezi kufanya biashara zingine zaidi ya kuuza t-shirt zenye maandishi ya single tunazotoa?
Unakumbuka kile kipindi kila msanii alikuwa akimiliki duka la nguo? Well, sio kila msanii alikuwa na duka lake lakini ni kweli wengi walianzisha maduka yao. Kwa sasa ni wachache waliobaki katika biashara hiyo kwakuwa wengi maduka yao yaliishia kuwapa stress tu zaidi ya neema waliyokuwa wakitegemea kuipata. Dawa ya biashara isiyokuwa na faida ni kuifunga […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo522 Jan
Rihanna ashinda kesi dhidi ya duka la Uingereza lililokuwa likiuza T-shirt zenye picha yake
9 years ago
Bongo531 Dec
Vitabu ni zaidi ya maandishi by Faraja Nyalandu
![11357008_405079516346127_1607457850_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11357008_405079516346127_1607457850_n-300x194.jpg)
Kila mwisho wa mwaka huwa ninataja tano bora ya vitabu nilivyosoma mwaka huo. Nimefanya hivyo kwa miaka miwili, unaweza kuona tano bora ya 2013 hapa na hata ya 2014 katika post hii ya Instagram.
Kusoma Vitabu ni Tabia
Ninapenda kusoma vitabu, sikumbuki lini nilianza kupenda kusoma vitabu lakini nakumbuka ni tabia niliyokua nayo tokea mtoto. Mama yangu alikuwa mwalimu aliyehakikisha ualimu wake hauishii tu shuleni anapomaliza vipindi bali aliuleta mpaka nyumbani.
Kupe anayefaa
Nikisoma...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Wazazi CCM kuuza sekondari zenye hali mbaya
JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imetangaza kuziweka sokoni shule zake za sekondari, ambazo ziko katika hali mbaya. Aidha, imesema itashirikiana na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), kwa ajili ya kuziokoa shule nyingine ambazo zinasuasua.
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Mfano wa biashara zenye mafanikio
10 years ago
Bongo511 Nov
Wasomi wengi hawawezi kufanya biashara, ila wanasaidia biashara nyingi kukua
10 years ago
Bongo501 Nov
Kanye asimamisha taxi kupiga picha na paparazzi aliyevaa t-shirt iliyomvutia, t-shirt zanunuliwa kama njugu
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Wapigakura wa Tanzania na biashara ya kuuza kura
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hMNECPNor99j9ofY0zSy1WURRbS4dJps7HL99DB2dopkfTzglsawAjOduDoXCDBxA*28b3PQe*hs1trgk1lAUyqoAtYzRlYR/Lungi.jpg?width=650)
LUNGI: NIMEFANYA SANA BIASHARA YA KUUZA UNGA
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s72-c/_77757295_manutd_getty.jpg)
ORODHA YA CLUB 50 ZENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s400/_77757295_manutd_getty.jpg)
Thamani ya United imeongezeka maradufu kutokana na mikataba kadhaa ya udhamini na biashara ambayo imekuwa ikiingia kila mara chini ya uongozi wa Mkurugenzi wa klabu hiyo Ed Woodward.
Chini ya uongozi wake thamani ya United imekuwa kubwa hali ambayo imefanya timu...