Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanachama wa Simba waandamana na kufunga njia za Msimbazi wakitaka Wambura arudishwe kwenye orodha ya wagombea

SAM_0445

Mashabiki wa Timu ya simba wakijikusanya nje ya jengo la klabu hiyo kongwe kupinga Wambura kuondolewa kwenye uchaguzi unakuja hivi karibuni.

SAM_0446

Hapa mashabiki wakizidi kujikusanya kwa wingi mchana huu.

SAM_0447

Wanachama wa Simba wakiwa wamelizunguka Jengo la klabu yao mchana huu kupinga kuondolewa kwa wambura kwenye uchaguzi wa klabu hiyo.

SAM_0448

Wanachama wa Simba wakipiga kelele nje ya jengo la klabu yao hiyo wakitaka wapewe ufafanuzi wa kina kwanini wambura ametolewa kwenye uchaguzi unaokuja.

SAM_0449

Mmoja...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA SIMBA WAANDAMANA NA KUFUNGA NJIA YA MSIMBAZI WAKITAKA WAMBURA ARUDISHWE KWENYE ORODHA YA WAGOMBEA

Mamia ya wapenzi na washabiki wa klabu kongwe ya mpira wa miguu hapa nchini Simba leo mchana wamejikusanya kwa wingi katika makao makuu ya klabu yao hiyo,kupinga Michael Wambura kuondolewa kwenye orodha ya wagombea kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.Wanachama hao ambao walizunguka jengo hilo na kutaka wapewe sababu za msingi kwanini Wambura ameondolewa huku wakitaka kufanya vurugu lakini vyombo vya usalama waliwahi kufika eneo la tukio na kuweza kuwatuliza wanachama Hao.

 

11 years ago

GPL

TFF YAPANGUA PINGAMIZI LA WAMBURA, MSIMBAZI YAZIZIMA

Shabiki wa Simba akifurahi kwa kuonyesha Katiba ya Simba.   Mashabiki wa Simba wakionesha furaha yao klabuni Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo. Ilikuwa ni pata-shika nguo-kuchanika na pongezi motomoto kwa shujaa wao…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rufaa ya Wambura yavuta wanachama

KIKAO cha Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kilichokutana jana jijini Dar es Salaam kujadili rufaa ya Michael Wambura, kiliwavuta baadhi ya mashabiki na wanachama wa klabu...

 

10 years ago

GPL

WALEMAVU WAANDAMANA NA KUFUNGA BARABARA JIJINI DAR

Walemavu wakiwa wamekaa barabarani wakati wa maandamano hayo. Wananchi wakitaharuki kufuatia maandamano ya walemavu kuelekea kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Hali ilikuwa tete.…

 

9 years ago

StarTV

Wanachama CWT Nyamagana waandamana

 

Zaidi ya wanachama 500 wa Chama cha Walimu Tanzania CWT wilayani Nyamagana wameandamana hadi katika ofisi za mkurugenzi wa jiji la Mwanza wakihitaji kupewa majibu sahihi juu ya madai yao ya mishahara, malipo ya likizo, nauli, posho, matibabu pamoja na kupandishwa vyeo.

Kwa mujibu wa walimu hao, madai hayo ni ya muda mrefu, licha ya kupaza sauti zao kupitia Chama cha Walimu nchini CWT lakini hawakupatiwa majibu sahihi juu ya madai hayo.

 

Nyimbo za kueleza umuhimu wao katika jamii ya...

 

10 years ago

GPL

WALEMAVU JIJINI DAR WAANDAMANA NA KUFUNGA BARABARA ZA KAWAWA NA UHURU

Walemavu jijini Dar es Salaam muda huu wameandamana kwenda ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar eneo la Ilala na kufunga barabara za Kawawa na Uhuru wakilalamikia kuvunjwa kwa meza zao za biashara zilizopo eneo la Karume.

 

11 years ago

GPL

WALEMAVU WAANDAMANA ENEO LA KARUME, WAZIBA NJIA

Walemavu wakiwa katika maandamano eneo la Karume jijini Dar kushinikiza kupatiwa eneo la biashara. Maandamano yakiwa yamepamba moto.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura yametimia Simba

MICHAEL Richard Wambura aliyekuwa anawania nafasi ya uenyekiti katika klabu ya Simba kupitia uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, jijini Dar es Salaam, amechujwa katika mbio hizo kwa kutokuwa mwanachama....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura kimeeleweka Simba

MGOMBEA aliyeenguliwa kuwania urais wa Klabu ya Simba katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Juni 29, Michael Wambura, amerejeshwa rasmi katika kinyang’anyiro hicho baada ya kushinda rufaa yake. Wambura, alienguliwa na Kamati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani