Waziri awaonya wafanyabiashara
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali haina mpango wa kubadili ukusanyaji wa kodi kupitia mashine za elekroniki EFDS na kwamba, ipo tayari kupambana na wafanyabiashara wote wanaopingana na utaratibu huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Malima awaonya wafanyabiashara
NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima, amewaonya wafanyabiashara nchini wanaoasisi migomo ya matumizi ya mashine za elektroniki (EFD) za Mamlaka ya Mapato Tanzania na kusema serikali haitawavumilia watu wa namna...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Lukuvi awaonya wafanyabiashara
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),William Lukuvi, amewakemea baadhi ya wafanyabiashara kuacha kutumia jina lake na kuvamia maeneo ya watu kwa nia ya kudhulumu maeneo...
10 years ago
Habarileo21 Mar
Waziri awaonya wakuu wa wilaya wasiowajibika
SERIKALI imesema haitasita kumwajibisha mkuu wa wilaya ambaye atashindwa kusimamia majukumu yake ipasavyo ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuwa na imani na Serikali yao.
10 years ago
Habarileo28 Apr
Waziri awaonya wadau wa sekta ya madini
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amewaonya wadau wa sekta ya madini kwa kuwataka kupeleka ofisini kwake changamoto za jumla zinazoikabili sekta hiyo na sio changamoto binafsi.
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Waziri Chikawe awaonya Wakimbizi Nyarugusu
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amewataka wakimbizi wa Kambi ya Nyarugusu kuacha tabia ya kuwaozesha watoto wenye umri mdogo kwa kuwa ni kuwiangiza katika matatizo wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LZPTBn_x9aw/VQwgkD0F1lI/AAAAAAAHLpI/pE3Ise93H2s/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Waziri Prof. Mghembe awaonya wanaoharibu vyanzo vya maji
![](http://2.bp.blogspot.com/-LZPTBn_x9aw/VQwgkD0F1lI/AAAAAAAHLpI/pE3Ise93H2s/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
Na Hussein Makame-MAELEZO, Musoma
WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amewaonya wananchi wanaoharibu vyanzo vya maji kwamba kufanya hivyo kunahatarisha uhai wa vyanzo hivyo.
Ametoa onyo hilo kwa nyakati tofauti wakati akiwa kwenye shughuli za kuweka mawe ya msingi kwenye miradi ya maji kwenye maeneo mbalimbali ya wilaya ya Serengeti mkoani Mara...
9 years ago
Michuzi20 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAONYA WATUMISHI WA SERIKALI, AWASILI KIJIJINI KWAKE NANDAGLA RUANGWA
![f3940726-a5ba-43fe-8d8a-66bdb6a1cb19](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/f3940726-a5ba-43fe-8d8a-66bdb6a1cb19.jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA MKOANI KIGOMA,ATEMBELEA KAMBI ZA WAKIMBIZI, AWAONYA KUTOJIHUSISHA NA UHALIFU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZaXgVCyG4Y/XmJVtajPNCI/AAAAAAALhhg/Gz7dsheo0FIeu014PH1dnMW5zBJm8iD-wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAFICHUENI WAFANYABIASHARA WA MAGENDO-WAZIRI MKUU
Pia ameiagiza Idara ya Uvuvi wilaya ya Pangani ihakikishe inadhibiti uvuvi haramu wa kutumia mabomu na nyavu zisizo stahili kwa kuwa unahatarisha mazalia ya samaki.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Ijumaa, Machi 6, 2020) wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Bomani, wilayani...