Waziri awaonya wakuu wa wilaya wasiowajibika
SERIKALI imesema haitasita kumwajibisha mkuu wa wilaya ambaye atashindwa kusimamia majukumu yake ipasavyo ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuwa na imani na Serikali yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Majina ya wakuu wa wilaya wapya na vituo vyao kama yalivyotangazwa na Mh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda leo
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Pinda.
ORODHA YA MA-DC 18.02.2015.doc by moblog
9 years ago
Mwananchi29 Dec
RC awaonya wakuu wa shule
10 years ago
MichuziMHE. CHIKU GALLAWA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WATEULE WA WILAYA ZA MKOA WA DODOMA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Dewji Blog26 May
JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya
11 years ago
Habarileo12 May
Kinana awaonya makatibu wa wilaya
KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana, amewataka wenyeviti na makatibu wa chama hicho ngazi ya wilaya, kutenda haki kwa wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UGeE1WsOmMs/VoapE7XBqWI/AAAAAAAIPy4/qOC7sA3Hy_8/s72-c/0ec17ecc-2acf-4c4e-86f7-8be4ac7e9b3c.jpg)
WAZIRI MKUU AWAPONGEZA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU KATIBU WAKUU
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Waziri awaonya wafanyabiashara
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0005.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM DK. BASHIRU AWAONYA MAKATIBU WA WILAYA, MIKOA WANAOZEMBEA KUANDAA VITAMBULISHO VYA WENYEVITI WA MASHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200216-WA0005.jpg)
Februari 15, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa onyo kwa Makatibu wa CCM wa Mikoa na Wilaya ambao hawajatekeleza agizo la kuandaa vitambulisho kwa ajili ya Wenyeviti wa mashina (Mabalozi) katika maeneo yao.
Dkt. Bashiru ametoa onyo hilo kutokana na kuwepo kwa taarifa ya baadhi ya Watendaji...
10 years ago
Mtanzania19 Feb
JK atema wakuu wa wilaya 19
Na Debora Sanja, Dodoma
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya kwa kuwateua wapya 27, huku akiwahamisha 64 katika vituo vyao na wengine 42 amewabakisha katika maeneo yao ya zamani.
Akitangaza mabadiliko hayo jana mjini hapa, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwapo kwa nafasi 27 zilizokuwa wazi kutokana na wakuu wake wa wilaya watatu kufariki dunia na wengine kupandishwa vyeo kuwa wakuu wa mikoa.
“Wakuu wa wilaya 27 wameteuliwa kuziba...