RC awaonya wakuu wa shule
Serikali mkoani hapa imewaonya wakuu wa shule zote kuwa yeyote atakayebainika kuomba michango kwa wazazi itachukua hatua za kisheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Mar
Waziri awaonya wakuu wa wilaya wasiowajibika
SERIKALI imesema haitasita kumwajibisha mkuu wa wilaya ambaye atashindwa kusimamia majukumu yake ipasavyo ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuwa na imani na Serikali yao.
10 years ago
GPLWAKUU WA SHULE WALIOZIFUNGA SHULE ZAO KIMAKOSA, KUKIONA CHA MOTO
11 years ago
GPL
JHIKOMAN ATEMBELEA SHULE YA MUZIKI YA REUTLINGEN,UJERMANI : WANAFUNZI NA WAKUU WA SHULE WAAHIDI KUTEMBELEA BAGAMOYO ! KILA WAKATI
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Wakuu 15 shule za wazazi matatani
5 years ago
Michuzi
WAKUU WA SHULE ENDELEENI KUDHIBITI MICHANGO HOLELA-MAJALIWA


Wadau wa Elimu wa Wilaya ya Ruangwa, wakipiga makofi, wakati wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwenye kikao cha maendeleo ya elimu, kilichofanyika katika ukumbi wa Narung’ombe, Ruangwa, Lindi. Machi 14, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
………………………………………
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa...
10 years ago
MichuziKASIMU MAJARIWA AKIFUNGA MAFUNZO YA WAKUU WA SHULE BAGAMOYO
10 years ago
StarTV14 Apr
Ukosefu wa chakula shuleni, TAMISEMI yawalaumu Wakuu wa shule waliozifunga.
Na Gloria Matola
Dar Es Salaam
Serikali imewaagiza wakuu wa shule za sekondari katika mikoa ya Kagera, Kilimanjaro, Dodoma na Tabora waliozifunga shule kwa madai ya kukosa chakula kuzifungua kutokana na kupelekwa pesa kwa kila halmashauri ili kukidhi mahitaji ya chakula katika shule hizo.
Katibu mkuu wa Tawala za mikoa na serikali za mitaa Jumanne Sagini amesema Serikali imetenga shilingi billion 28.1 kwa kila Halmashauri kwa shule za sekondari za bweni kwaajili ya chakula ambapo hadi...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Waziri awashusha vyeo ofisa elimu, wakuu wa shule za sekondari
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Usalama wa wateja wa benki, Lugha ya Kichina, wakuu wa shule na ubadhirifu..#MAGAZETINI
HABARILEO Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inakusudia kuwafikisha wakuu wa shule zake 15 kwenye vyombo vya sheria kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha. Akizungumza jana jijini Dar es SaIaam, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Abdallah Bulembo alisema zaidi ya shule 26 walizozifanyia ukaguzi, 15 zimekutwa zikiwa na upungufu na kubwa ikiwa ni […]
The post Usalama wa wateja wa benki, Lugha ya Kichina, wakuu wa shule na ubadhirifu..#MAGAZETINI appeared first on TZA_MillardAyo.