Wakuu 15 shule za wazazi matatani
Wakuu wa shule 15 zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM, wako hatarini kuburuzwa mahakamani kutokana na tuhuma za ubadhirifu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper31 Jul
Waliokula fedha za WAZAZI matatani
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
JUMUIA ya Wazazi Tanzania, imeahidi kupeleka timu ya wakaguzi wa hesabu ili kubaini chanzo cha madeni yanayoikabili Shule ya Sekondari ya Leguruki, mkoani hapa.
Madeni hayo yanatokana na na baadhi ya watumishi waliojinufaisha na fedha za shule hiyo na kisha kutoroka na kuiacha ikiwa na madeni lukuki.
Katibu wa Wazazi Mkoa wa Arusha, Daniel Mgaya, alisema tayari makao makuu ya jumuia wameshakubali kutuma timu hiyo baada ya kumalizika kwa sikukuu ya Idd el Fitri....
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Wazazi watundu matatani Afrika Kusini
10 years ago
GPLWAKUU WA SHULE WALIOZIFUNGA SHULE ZAO KIMAKOSA, KUKIONA CHA MOTO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpMxqCMzigGM7*eRJWeleQQCPBXt-ePpSdJ8XaQz67gJe1Ak*7swzkqk-v89hIAZI8kWpkqIlMGx2qbwM6a3*fP/DarasalamuzikikatikatahasisiyashuleyamuzikiReutlingenJhikomananakubalikakimataifa.jpg?width=650)
JHIKOMAN ATEMBELEA SHULE YA MUZIKI YA REUTLINGEN,UJERMANI : WANAFUNZI NA WAKUU WA SHULE WAAHIDI KUTEMBELEA BAGAMOYO ! KILA WAKATI
10 years ago
Habarileo18 Mar
Kamati ya shule matatani Takukuru
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Nachingwea, imewaburuza kortini walimu na viongozi wa Kamati ya Shule wakihusishwa na kufanya manunuzi hewa ya vifaa vya ujenzi kwa ajili ya nyumba ya mwalimu wilayani humo.
9 years ago
Mwananchi29 Dec
RC awaonya wakuu wa shule
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Wazazi wajihadhari na matangazo ya shule
9 years ago
Habarileo09 Dec
Wamiliki wa shule wawapoza wazazi
WAMILIKI wa shule binafsi nchini wamesema shule zitafunguliwa kama kawaida mwakani na wamewataka wazazi wa wanafunzi kuondoa hofu, iliyosababishwa na taarifa kwenye vyombo vya habari kwamba hazitafunguliwa.
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Wazazi tuzitathmini shule za watoto wetu