Kamati ya shule matatani Takukuru
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Nachingwea, imewaburuza kortini walimu na viongozi wa Kamati ya Shule wakihusishwa na kufanya manunuzi hewa ya vifaa vya ujenzi kwa ajili ya nyumba ya mwalimu wilayani humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Wakuu 15 shule za wazazi matatani
Wakuu wa shule 15 zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM, wako hatarini kuburuzwa mahakamani kutokana na tuhuma za ubadhirifu.
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Vigogo Takukuru, TRA, CAG ‘kikaangoni’ Kamati ya Zitto
>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo inaanza kuwahoji watu mbalimbali waliohusika katika uchunguzi au tuhuma za kashfa ya IPTL kuhusu uchotaji wa Sh306 bilioni katika akaunti ya Escrow iliyoko katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Takukuru yaingilia kati mkataba wa ardhi Shule ya Msingi Wereni
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imeanzisha uchunguzi wa mikataba ya kubadilishana shamba kati ya Shule ya Msingi Wereni na mfanyabiashara, Thom Ndesamburo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mZRLGWcE8Es/XtnNaAlBDJI/AAAAAAALsqM/zNTRLrqg2M0jXeBiUW_BomM_HsNXkaTjgCLcBGAsYHQ/s72-c/c8cbf77a760ad8d1ed89647e60735a7a.png)
MWENYEKITI KAMATI YA MAZINGIRA MTAA WA TAMBUKARELI MIKONONI MWA TAKUKURU KWA KUJIFANYA OFISA ARDHI ILI KUPATA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mZRLGWcE8Es/XtnNaAlBDJI/AAAAAAALsqM/zNTRLrqg2M0jXeBiUW_BomM_HsNXkaTjgCLcBGAsYHQ/s320/c8cbf77a760ad8d1ed89647e60735a7a.png)
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam inamshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Mazingira wa Mtaa wa Tambukareli Kata ya Azimio kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kinyume cha kifungu cha sheria namba 302 cha sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.
Akizungumzia kukamatwa na kushikiliwa kwa mtuhumiwa huyo Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam Donacian Kessy...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P30WfcnebBY/VB9PHuEkugI/AAAAAAAARCw/4tZ8uMUwz60/s72-c/6.jpg)
KINANA ATAKA WAZAZI KUCHAGUA WATU WENYE SHUGHULI ZAO KUWA WAJUMBE WA KAMATI ZA SHULE
![](http://2.bp.blogspot.com/-P30WfcnebBY/VB9PHuEkugI/AAAAAAAARCw/4tZ8uMUwz60/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HaCjpVafzr8/VB9PJtzQwTI/AAAAAAAARC4/9agjW_GxaJ0/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DKj7VVYTGt4/VB9PMotG8SI/AAAAAAAARDA/jwob49EDL0Y/s1600/13.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gBTPzPp4X6Y/Xk064qCBQeI/AAAAAAALeVE/24S3R5gHzLI6EzYuhx2aF4oiiZ3AVTz5wCLcBGAsYHQ/s72-c/tff2-1.jpg)
KAMATI ya Utendaji yaTFF imeunda Kamati ya Maendeleo ya Miradi
![](https://1.bp.blogspot.com/-gBTPzPp4X6Y/Xk064qCBQeI/AAAAAAALeVE/24S3R5gHzLI6EzYuhx2aF4oiiZ3AVTz5wCLcBGAsYHQ/s640/tff2-1.jpg)
Kabla ya kuunda Kamati hiyo, Kamati ya Utendaji ilipokea taarifa ya maandalizi ya utekelezaji wa miradi hiyo kwenye kikao chake kilichofanyika Februari 18, 2020 jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati hiyo ni QS Lucy Mzengi (Mwenyekiti), Mhandisi Hersi Said, Mhandisi Hamad Ramadhan, na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f-MjeoJgNE4/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcKvSG3Ilte4JmnLdlWueG0OReBv2ULhrS0hFku9s3SxJilAy*5nA65n-yuwpTIZ*5qgDiRZCK4PQqCey1Yl8JZK/KAMATIYAMAADILI.png)
UPDATES KUTOKA DODOMA: KAMATI YA MAADILI YAMALIZA KAZI YAKE, SASA KINAFUATA KIKAO CHA KAMATI KUU (CC)
Kamati ya Usalama na Maadili tayari imemaliza kikao chake. Kamati Kuu itaanza kikao chake saa 10 jioni
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania