Vigogo Takukuru, TRA, CAG ‘kikaangoni’ Kamati ya Zitto
>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo inaanza kuwahoji watu mbalimbali waliohusika katika uchunguzi au tuhuma za kashfa ya IPTL kuhusu uchotaji wa Sh306 bilioni katika akaunti ya Escrow iliyoko katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
CAG, Takukuru, TRA: Fedha za Escrow za umma
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
IPTL majanga, vigogo wa Takukuru kutua kwa Zitto
KASHFA kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh. bilioni 200, zilizohifadhiwa kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limeibua tafrani mpya Bungeni baada ya baadhi ya wabunge kuhoji...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Kamati ya Zitto yawapeleka polisi vigogo TPDC
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Vigogo kikaangoni
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Vigogo wa Fifa,Uefa kikaangoni
11 years ago
HabarileoPinda aagiza Takukuru, CAG wachunguze IPTL
10 years ago
Habarileo10 Oct
Takukuru mashahidi 15 kesi ya vigogo MSD
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inatarajia kuwa na mashahidi 15 na vielelezo 12 katika kesi ya kuingiza vipimo bandia vya Virusi vya Ukimwi (HIV) inayowakabili vigogo wa Bohari ya Dawa (MSD) na wenzao.
9 years ago
Habarileo28 Nov
Mtikisiko vigogo TRA
RAIS John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade, muda mfupi baada ya ziara ya kushitukiza ya Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa iliyofanyika jana.