Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vigogo Takukuru, TRA, CAG ‘kikaangoni’ Kamati ya Zitto

>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo inaanza kuwahoji watu mbalimbali waliohusika katika uchunguzi au tuhuma za kashfa ya IPTL kuhusu uchotaji wa Sh306 bilioni katika akaunti ya Escrow iliyoko katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CAG, Takukuru, TRA: Fedha za Escrow za umma

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imesisitiza kuwa fedha zilizochukuliwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow Sh306 bilioni ni za umma na waliohusika katika sakata hilo wachukuliwe hatua kali na za kinidhamu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

IPTL majanga, vigogo wa Takukuru kutua kwa Zitto

KASHFA kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh. bilioni 200, zilizohifadhiwa kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limeibua tafrani mpya Bungeni baada ya baadhi ya wabunge kuhoji...

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), jana iligeuka ‘mwiba mkali’ kwa watendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Kampuni ya Ranchi ya Taifa (Narco) na Wizara ya Nishati na Madini, baada ya kuwatimua wakurugenzi na wenyeviti wa bodi kwa kushindwa kutoa maelezo ya kina kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma, uzembe na wizi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto yawapeleka polisi vigogo TPDC

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwanda na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, James Andilile jana walikamatwa na polisi kwa agizo la na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), inayoongozwa na Zitto Kabwe kwa kushindwa kuwasilisha mikataba 26 ya gesi na mapitio yake mbele kamati hiyo tangu mwaka 2012.

 

10 years ago

Mwananchi

Vigogo kikaangoni

 Hatima ya viongozi watano wa ngazi za juu wa Mamlaka ya Reli nchini (TRL) kung’olewa au kubaki madarakani, itajulikana ndani ya siku saba baada Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kuunda kamati ya uchunguzi wa matatizo ndani ya TRL.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vigogo wa Fifa,Uefa kikaangoni

Rais wa Fifa Sepp Blatter na Michel Platini wa Uefa wahojiwa kuhusu mikataba ya Kombe la dunia mwaka 2018 na 2022

 

11 years ago

Habarileo

Pinda aagiza Takukuru, CAG wachunguze IPTL

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wameagizwa kuchunguza na kujiridhisha kama kweli upo uchotaji wa mabilioni ya shilingi katika akaunti ya Escrow iliyokuwa imefunguliwa ndani ya Benki Kuu (BoT) kwa ajili ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).

 

10 years ago

Habarileo

Takukuru mashahidi 15 kesi ya vigogo MSD

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inatarajia kuwa na mashahidi 15 na vielelezo 12 katika kesi ya kuingiza vipimo bandia vya Virusi vya Ukimwi (HIV) inayowakabili vigogo wa Bohari ya Dawa (MSD) na wenzao.

 

9 years ago

Habarileo

Mtikisiko vigogo TRA

RAIS John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade, muda mfupi baada ya ziara ya kushitukiza ya Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa iliyofanyika jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani