Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vigogo wa Fifa,Uefa kikaangoni

Rais wa Fifa Sepp Blatter na Michel Platini wa Uefa wahojiwa kuhusu mikataba ya Kombe la dunia mwaka 2018 na 2022

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vigogo kikaangoni

 Hatima ya viongozi watano wa ngazi za juu wa Mamlaka ya Reli nchini (TRL) kung’olewa au kubaki madarakani, itajulikana ndani ya siku saba baada Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kuunda kamati ya uchunguzi wa matatizo ndani ya TRL.

 

10 years ago

Mwananchi

Vigogo Takukuru, TRA, CAG ‘kikaangoni’ Kamati ya Zitto

>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo inaanza kuwahoji watu mbalimbali waliohusika katika uchunguzi au tuhuma za kashfa ya IPTL kuhusu uchotaji wa Sh306 bilioni katika akaunti ya Escrow iliyoko katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Mtanzania

Uefa na njama za kujitoa Fifa

NYON, USWISI

BARAZA la Vyama vya Soka Ulaya (UEFA), lipo kwenye njama za kujitoa katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) na kuandaa mashindano pinzani, ikiwa ni jitihada za nguvu za kufanya mageuzi kwa kumwangusha Sepp Blatter, imeelezwa.

Njama hizo za Uefa zinatokana na rushwa ya Dola za Kimarekani milioni 100 inayoikabili Fifa, zilizolipwa kwa haki ya matangazo ya televisheni, mikataba ya udhamini na kura wa Kombe la Dunia.

Hongo hiyo inadaiwa ilitumika kufanikisha uenyeji wa fainali...

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter ailaumu UEFA na Marekani

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter ameikashifu shirikisho la soka barani ulaya UEFA na Marekani kwa kuendesha kampeini ya kuipaka tope jina zuri la FIFA.

 

11 years ago

Mwananchi

Greenland; ardhi ambayo Uefa, Fifa wameisaha

Mwezi wa tano mwaka huu, Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA) liliipa uanachama nchi ya Gibraltar ambayo ni nchi yenye watu wachache katika bara la Ulaya kwani ina watu wapatao 30,000.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vigogo saba kuwania urais Fifa

Majina ya viongozi saba watakaowania urais wa shirikisho la kandanda duniani Fifa yametangazwa

 

9 years ago

Bongo5

FIFA yatoa majina ya vigogo saba wanaowania Urais

Shirikisho la kandanda duniani, FIFA limetangaza majina ya viongozi saba watakaowania urais. Majina hayo ni pamoja na Prince Ali bin al-Hussein, mwenye miaka 39 ambaye ni rais wa shirikisho la kandanda la Jordan. Mwingine ni Musa Bility raia wa Liberia mwenye umri wa miaka 48 akiwa ni rais wa shirikisho la soka nchini humo. Yupo […]

 

9 years ago

StarTV

Vigogo Blatter na Platin hatarini kufungiwa miaka 7 kwa  Kashfa Ya Rushwa Fifa

Ndoto za Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya,Michel Platin kuwania kiti cha urais wa FIFA sasa zinaonekana kuota mbawa kutokana na kamati ya maadili ya chombo hicho kikubwa cha soka kushauri wafungiwe miaka saba pamoja na Sepp Blatter

Platin pamoja na Sepp Blatter wanaotumikia adhabu ya kusimamishwa siku 90 ndani ya FIFA,kamati hiyo imebaini wana kosa baada ya kupeana fedha paundi  milioni 1.3 zenye mazingira ya rushwa.

Kamati maalum inayosikiliza shauri hilo na kutoa hukumu kabla ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi kikaangoni

IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa imani, mfumo wa sheria pamoja na utumiaji wa njia zisizo rasmi ili kupata haki, kunadhoofisha usalama wa nchi. Kauli hii ilitolewa jana jijini Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani