Vigogo wa Fifa,Uefa kikaangoni
Rais wa Fifa Sepp Blatter na Michel Platini wa Uefa wahojiwa kuhusu mikataba ya Kombe la dunia mwaka 2018 na 2022
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Vigogo kikaangoni
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Vigogo Takukuru, TRA, CAG ‘kikaangoni’ Kamati ya Zitto
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Uefa na njama za kujitoa Fifa
NYON, USWISI
BARAZA la Vyama vya Soka Ulaya (UEFA), lipo kwenye njama za kujitoa katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) na kuandaa mashindano pinzani, ikiwa ni jitihada za nguvu za kufanya mageuzi kwa kumwangusha Sepp Blatter, imeelezwa.
Njama hizo za Uefa zinatokana na rushwa ya Dola za Kimarekani milioni 100 inayoikabili Fifa, zilizolipwa kwa haki ya matangazo ya televisheni, mikataba ya udhamini na kura wa Kombe la Dunia.
Hongo hiyo inadaiwa ilitumika kufanikisha uenyeji wa fainali...
10 years ago
BBCSwahili30 May
FIFA:Blatter ailaumu UEFA na Marekani
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Greenland; ardhi ambayo Uefa, Fifa wameisaha
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Vigogo saba kuwania urais Fifa
9 years ago
Bongo529 Oct
FIFA yatoa majina ya vigogo saba wanaowania Urais
9 years ago
StarTV24 Nov
Vigogo Blatter na Platin hatarini kufungiwa miaka 7 kwa  Kashfa Ya Rushwa Fifa
Ndoto za Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya,Michel Platin kuwania kiti cha urais wa FIFA sasa zinaonekana kuota mbawa kutokana na kamati ya maadili ya chombo hicho kikubwa cha soka kushauri wafungiwe miaka saba pamoja na Sepp Blatter
Platin pamoja na Sepp Blatter wanaotumikia adhabu ya kusimamishwa siku 90 ndani ya FIFA,kamati hiyo imebaini wana kosa baada ya kupeana fedha paundi milioni 1.3 zenye mazingira ya rushwa.
Kamati maalum inayosikiliza shauri hilo na kutoa hukumu kabla ya...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Polisi kikaangoni
IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa imani, mfumo wa sheria pamoja na utumiaji wa njia zisizo rasmi ili kupata haki, kunadhoofisha usalama wa nchi. Kauli hii ilitolewa jana jijini Dar es Salaam...