Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uefa na njama za kujitoa Fifa

NYON, USWISI

BARAZA la Vyama vya Soka Ulaya (UEFA), lipo kwenye njama za kujitoa katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) na kuandaa mashindano pinzani, ikiwa ni jitihada za nguvu za kufanya mageuzi kwa kumwangusha Sepp Blatter, imeelezwa.

Njama hizo za Uefa zinatokana na rushwa ya Dola za Kimarekani milioni 100 inayoikabili Fifa, zilizolipwa kwa haki ya matangazo ya televisheni, mikataba ya udhamini na kura wa Kombe la Dunia.

Hongo hiyo inadaiwa ilitumika kufanikisha uenyeji wa fainali...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vigogo wa Fifa,Uefa kikaangoni

Rais wa Fifa Sepp Blatter na Michel Platini wa Uefa wahojiwa kuhusu mikataba ya Kombe la dunia mwaka 2018 na 2022

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter ailaumu UEFA na Marekani

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter ameikashifu shirikisho la soka barani ulaya UEFA na Marekani kwa kuendesha kampeini ya kuipaka tope jina zuri la FIFA.

 

11 years ago

Mwananchi

Greenland; ardhi ambayo Uefa, Fifa wameisaha

Mwezi wa tano mwaka huu, Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA) liliipa uanachama nchi ya Gibraltar ambayo ni nchi yenye watu wachache katika bara la Ulaya kwani ina watu wapatao 30,000.

 

10 years ago

Michuzi

Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake



Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.


Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.

Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kujitoa mhanga Nigeria

Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari moja limelipuka mjini Maiduguri Kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuna hofu ya watu wengi kujeruhiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

CUF yakanusha kujitoa Ukawa

>Chama cha Wananchi CUF kimekanusha taarifa zilizoenea kuwa kimejitoa kwenye Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) CUF imesema kuwa haikuhudhuria katika kikao cha Ukawa kilichoendelea jana kwa sababu kwanza hawakupata taarifa na pia walikuwa na kikao cha ndani ya chama kama katiba yao inavyotaka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Merkel:Ni sawa Uingereza kujitoa EU

Kiongozi wa Ujerumani, Angela Merkel amesema yuko tayari kuona Uingereza ikijitoa Umoja wa UIaya kuliko kukwamisha mambo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kujitoa mhanga laua 15

Watu 15 wameuawa baada ya mshambulizi wa kujitolea mhanga kulipua bomu Maiduguri

 

11 years ago

BBCSwahili

'Afufuka baada ya kujitoa uhai'

Wananchi wa Kenya wameshangazwa na taarifa ya mwanamume mmoja aliyedhaniwa kufariki kufufuka kutoka katika chumba cha kuhifadhia maiti

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani