FIFA:Blatter ailaumu UEFA na Marekani
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter ameikashifu shirikisho la soka barani ulaya UEFA na Marekani kwa kuendesha kampeini ya kuipaka tope jina zuri la FIFA.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Trump ailaumu China kwa shambulio baya zaidi kwa Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani bado anasisitiza kuwa virusi vimetengenezwa maabara China
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuAmb0laZGkG4MQlYjjLfENFtvv94vtH1CV5jlOIYudSl*srVuSUhDh9RRxiZMF*aWUx40uDWP3vp19RO24rns35/sepp.jpg?width=650)
BLATTER AJIUZULU FIFA
Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter. Zurich, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter, jana alijiuzulu cheo chake kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.Blatter alitangaza kujiuzulu jana jioni zikiwa ni siku nne tangu alipochaguliwa kwa mara ya tano kuiongoza Fifa. Alitangaza uamuzi huo kwenye makao makuu wa Fifa mjini Zurich akiwa ametumikia cheo cha urais...
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Blatter kujiuzulu Fifa
Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83312000/jpg/_83312505_83312495.jpg)
Fifa re-elects Blatter president
Fifa re-elects Sepp Blatter president as his rival withdraws after the first round of a vote overshadowed by allegations of corruption in world football.
10 years ago
BBCSwahili28 May
FIFA: Blatter asalia Kimya !
Rais wa FIFA Sepp Blatter kuonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu maafisa wakuu wa FIFA kukamatwa kufuatia tuhuma za ulaji rushwa
10 years ago
BBCSwahili29 May
Blatter anawania Urais wa FIFA
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Blatter,anagombea kiti cha urais katika uchaguzi wa shirikisho hilo unaotarajiwa kufanyika leo huko Zurich Uswisi.
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/5D6C/production/_85961932_seppblatter_getty.jpg)
Blatter faces suspension by Fifa
Fifa president Sepp Blatter faces a 90-day provisional suspension after an investigation by the governing body's ethics committee.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BLATTER AJIUZULU URAIS FIFA
Rais wa FIFA, Sepp Blatter ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo. Sepp Blatter akiwapongeza wajumbe wa FIFA baada ya kushinda nafasi hiyo siku sita zilizopita. MTIKISIKO, Rais wa FIFA Sepp Blatter (79) ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Urais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kufuatia kashfa ya rushwa. Taarifa iliyotolewa leo makao makuu ya FIFA mjini Zurich, Uswisi, Blatter amesema anaondoka baada ya miaka 17… ...
10 years ago
TheCitizen03 Jun
Blatter to resign as Fifa president
Zurich. Sepp Blatter says he will resign as president of football’s governing body Fifa amid a corruption scandal.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania