Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA:Blatter ailaumu UEFA na Marekani

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter ameikashifu shirikisho la soka barani ulaya UEFA na Marekani kwa kuendesha kampeini ya kuipaka tope jina zuri la FIFA.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Trump ailaumu China kwa shambulio baya zaidi kwa Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani bado anasisitiza kuwa virusi vimetengenezwa maabara China

 

10 years ago

GPL

BLATTER AJIUZULU FIFA

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter. Zurich, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter, jana alijiuzulu cheo chake kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.Blatter alitangaza kujiuzulu jana jioni zikiwa ni siku nne tangu alipochaguliwa kwa mara ya tano kuiongoza Fifa. Alitangaza uamuzi huo kwenye makao makuu wa Fifa mjini Zurich akiwa ametumikia cheo cha urais...

 

10 years ago

Mwananchi

Blatter kujiuzulu Fifa

Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.

 

10 years ago

BBC

Fifa re-elects Blatter president

Fifa re-elects Sepp Blatter president as his rival withdraws after the first round of a vote overshadowed by allegations of corruption in world football.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA: Blatter asalia Kimya !

Rais wa FIFA Sepp Blatter kuonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu maafisa wakuu wa FIFA kukamatwa kufuatia tuhuma za ulaji rushwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Blatter anawania Urais wa FIFA

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Blatter,anagombea kiti cha urais katika uchaguzi wa shirikisho hilo unaotarajiwa kufanyika leo huko Zurich Uswisi.

 

9 years ago

BBC

Blatter faces suspension by Fifa

Fifa president Sepp Blatter faces a 90-day provisional suspension after an investigation by the governing body's ethics committee.

 

10 years ago

GPL

BLATTER AJIUZULU URAIS FIFA

Rais wa FIFA, Sepp Blatter ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo. Sepp Blatter akiwapongeza wajumbe wa FIFA baada ya kushinda nafasi hiyo siku sita zilizopita. MTIKISIKO, Rais wa FIFA Sepp Blatter (79) ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Urais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kufuatia kashfa ya rushwa. Taarifa iliyotolewa leo makao makuu ya FIFA mjini Zurich, Uswisi, Blatter amesema anaondoka baada ya miaka 17… ...

 

10 years ago

TheCitizen

Blatter to resign as Fifa president

Zurich. Sepp Blatter says he will resign as president of football’s governing body Fifa amid a corruption scandal.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani