Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliokula fedha za WAZAZI matatani


NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
JUMUIA ya Wazazi Tanzania, imeahidi kupeleka timu ya wakaguzi wa hesabu ili kubaini chanzo cha madeni yanayoikabili Shule ya Sekondari ya Leguruki, mkoani hapa. 
Madeni hayo yanatokana na na baadhi ya watumishi waliojinufaisha na fedha za shule hiyo na kisha kutoroka na kuiacha ikiwa na madeni lukuki.
Katibu wa Wazazi Mkoa wa Arusha, Daniel Mgaya, alisema tayari makao makuu ya jumuia wameshakubali kutuma timu hiyo baada ya kumalizika kwa sikukuu ya Idd el Fitri....

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

RC aagiza waliokula fedha za Tasaf wakamatwe

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amemwagiza Kamanda wa Polisi Wilaya ya Igunga, Abedi Maige kuwakamata baadhi ya watendaji wa vijiji waliohusika kula fedha za Mradi wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kunusuru kaya masikini Awamu ya Tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliokula fedha za ebola kusakwa S Leone

Msemaji wa serikali (Abdulai Bayraytay) aliiambia BBC kuwa yeyote ambaye atapatikana kuhusika kwenye ufisadi huo atakabiliwa

 

9 years ago

Mwananchi

Wakuu 15 shule za wazazi matatani

Wakuu wa shule 15 zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM, wako hatarini kuburuzwa mahakamani kutokana na tuhuma za ubadhirifu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wazazi watundu matatani Afrika Kusini

Wazazi wasiowasaidia watoto wao msaada hawataruhusiwa kuomba mikopo kwa mabenki baada ya sheria mpya kuanza kutumika Afrika Kusini

 

10 years ago

Habarileo

Ofisa Kishapu matatani fedha za maabara

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani Kishapu kumkamata Ofisa biashara wa wilaya hiyo, Konisaga Mwafongo kwa tuhuma za kuiba Sh milioni 10 za ujenzi wa maabara.

 

9 years ago

Bongo5

Missy Elliot matatani kwa kukwepa kutumbuiza Brazil licha ya kulipwa fedha

Rapper Missy Elliott anakabiliwa na kesi ya madai ya $75,000 kwa kudaiwa kukwepa kutokea kwenye TV ya Brazil na kutumbuiza kwenye show mbili. Madai hayo yanadai kuwa mshindi huyo wa tuzo tano za Grammy alilipwa $75,000 kama malipo ya awali mwaka 2012 kutumbuiza jijini Rio na Porto Alegre mwezi November. Kama sehemu ya makubaliano hayo, […]

 

9 years ago

Habarileo

Adaiwa kutafuna fedha zilizochangwa na wazazi

POLISI wilayani Kahama mkoani Shinyanga inamshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Shule ya Msingi Kilima A, Simon Soka kwa tuhuma za wizi wa Sh milioni 3.6 zilizochangwa na wazazi ili kukarabati jengo na ununuzi wa madawati.

 

11 years ago

GPL

WOLPER, KUWAJALI WAZAZI SIYO FEDHA

Jackline Wolper . NINAMFAHAMU Jacqueline Wolper, kama mmoja wa mastaa wa filamu za Kibongo. Anajitahidi kuigiza na muonekano wa mwili wake unamsaidia sana kuvutia mashabiki.
Siku kadhaa nyuma, niliwahi kuwa mmoja wa waandishi waliokuwa wakifanya naye mahojiano maalum ofisini kwetu. Anajua kujieleza na ni mtulivu katika kujibu maswali anayoulizwa, huenda kwa vile anajua athari za maneno ya haraka, yasiyoeleweka na… ...

 

10 years ago

Habarileo

Katibu Wazazi mbaroni kwa fedha za Saccos

 Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, George KamwelaJESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Katibu wa Jumuiya ya Wazazi wilayani ya Handeni mkoani Tanga, Ali Balo kwa tuhuma za upotevu wa zaidi ya Sh milioni 7 za chama cha akiba na mikopo (SACCOS) cha jumuiya hiyo wilayani Siha mkoani hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani