Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Missy Elliot matatani kwa kukwepa kutumbuiza Brazil licha ya kulipwa fedha

Rapper Missy Elliott anakabiliwa na kesi ya madai ya $75,000 kwa kudaiwa kukwepa kutokea kwenye TV ya Brazil na kutumbuiza kwenye show mbili. Madai hayo yanadai kuwa mshindi huyo wa tuzo tano za Grammy alilipwa $75,000 kama malipo ya awali mwaka 2012 kutumbuiza jijini Rio na Porto Alegre mwezi November. Kama sehemu ya makubaliano hayo, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Messi matatani kwa kukwepa kodi

Nyota wa timu ya Barcelona na Argentina Lionel Messi anakabiliwa na mashtaka ya ukwepaji wa kulipa kodi

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj kutumbuiza Angola licha ya wanaharakati kuipinga show yake

12327969_468705609983531_2040894811_n

Nicki Minaj atatumbuiza nchini Angola Jumamosi hii licha ya taasisi ya Human Rights Foundation kuipinga show hiyo.

12327969_468705609983531_2040894811_n

Minaj amethibitisha show hiyo kwenye Instagram.

“ANGOLA! R u ready for the show?!???! Can’t wait to see u guys! Get your tickets here,” ameandika rapper huyo wa YMCMB.

Baadaye rapper huyo aliandika kwenye Twitter:

“Every tongue that rises up against me in judgement shall be condemned.”

Minaj atatumbuiza kwenye party ya Christmas iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya Unitel,...

 

9 years ago

MillardAyo

Meek Mill matatani, licha ya Nicki Minaj kumtetea Mahakama haijamuacha bure!

Mwaka huu wa 2015 hautoisha poa kwa rapper wa Maybach Music Group, Meek Mill kwani baada ya kusimama Mahakamani kwa zaidi ya wiki mbili inaonekana jitihada zake za kujitetea kwanini hajatii sheria za kifungo chake cha nje hazijairidhisha Mahakama ya Philadelphia. Jana rapper huyo alipanda kizimbani kujitetea kwa mara ya mwisho lakini baada ya saa […]

The post Meek Mill matatani, licha ya Nicki Minaj kumtetea Mahakama haijamuacha bure! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapenzi yanoga licha ya kipigo Brazil

Licha ya huzuni Brazil,kunao mashabiki ambao wameitumia fursa ya kombe la dunia kujitafutia mapenzi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Brazil Dilma matatani

Mahakama nchini Brazil imebaini kuwa Rais wa nchi hiyo Dilma Rousseff amekiuka sheria za usimamizi wa akaunti ya bajeti ya mwakajana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa kashfa ya tiketi matatani Brazil

Watu 12 wamesimamishwa kazi kutokana na uuzaji haramu wa tiketi za kutazama mechi za kombe la Dunia.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Waliokula fedha za WAZAZI matatani


NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
JUMUIA ya Wazazi Tanzania, imeahidi kupeleka timu ya wakaguzi wa hesabu ili kubaini chanzo cha madeni yanayoikabili Shule ya Sekondari ya Leguruki, mkoani hapa. 
Madeni hayo yanatokana na na baadhi ya watumishi waliojinufaisha na fedha za shule hiyo na kisha kutoroka na kuiacha ikiwa na madeni lukuki.
Katibu wa Wazazi Mkoa wa Arusha, Daniel Mgaya, alisema tayari makao makuu ya jumuia wameshakubali kutuma timu hiyo baada ya kumalizika kwa sikukuu ya Idd el Fitri....

 

10 years ago

Habarileo

Ofisa Kishapu matatani fedha za maabara

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani Kishapu kumkamata Ofisa biashara wa wilaya hiyo, Konisaga Mwafongo kwa tuhuma za kuiba Sh milioni 10 za ujenzi wa maabara.

 

9 years ago

Vijimambo

MISSY T AMPONGEZA DIAMOND KWA KUMPELEKA DINNER VIRGINIA

Miss Temeke (wapili toka kushoto) akiwa na Diamond na meneja wake Babu Tale (kulia) kwenye chakula cha jioni siku ya Jumanne Octoba 13, 2015 kwenye mgahawa Virginia. Missy T alimpeleka Dinner Diamond na meneja wake Babu Tale kwa kumpongeza masanii huyo kwa kuweza kunyakua tuzo tatu kwenye AFRIMA Awards zilizofanyika wiki iliyopita jimbo la Texas. Wengine waliokuwepo kwenye chakula hicho cha jioni ni Seif Ameir na Mkewe Bi. Nargis akiwemo Mume wa Miss T Bwn. Mohamed Matope. Diamond na meneja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani