Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nicki Minaj kutumbuiza Angola licha ya wanaharakati kuipinga show yake

12327969_468705609983531_2040894811_n

Nicki Minaj atatumbuiza nchini Angola Jumamosi hii licha ya taasisi ya Human Rights Foundation kuipinga show hiyo.

12327969_468705609983531_2040894811_n

Minaj amethibitisha show hiyo kwenye Instagram.

“ANGOLA! R u ready for the show?!???! Can’t wait to see u guys! Get your tickets here,” ameandika rapper huyo wa YMCMB.

Baadaye rapper huyo aliandika kwenye Twitter:

“Every tongue that rises up against me in judgement shall be condemned.”

Minaj atatumbuiza kwenye party ya Christmas iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya Unitel,...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Wanaharakati wapinga show ya Nicki Minaj nchini Angola

Nicki-Minaj

Wanaharakati wa haki za binadamu wamepinga kufanyika kwa show ya Nicki Minaj nchini Angola.

Nicki-Minaj

Rapper huyo anatarajiwa kutumbuiza Jumamosi hii, December 19 kwenye party ya Christmas iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya Unitel, inayomilikiwa na familia ya rais wa nchi hiyo, José Eduardo dos Santos.

Rais huyo anadaiwa kujikusanyia mali nyingi za nchi hiyo hususan mafuta na almasi kwaajili ya familia yake.

Rais wa taasisi ya Human Rights Foundation, Thor Halvorssen, amemuomba Minaj kwenye barua...

 

9 years ago

MillardAyo

Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?!

Msanii kutokea Marekani, Nicki Minaj jana aliziandika headlines kwenye kurasa za burudani baada ya taarifa kusambaa kuwa amepigwa stop kwenda kutoa show Angola jumamosi ya tarehe 19 December wiki hii, kutokana na Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Angola kupinga kufanyika kwa show hiyo. Wanaharakati hao walimuandikia Nicki Minaj barua kumuomba rapper huyo asitishe show […]

The post Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?! appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Jay Z, Beyonce, Nicki Minaj, Usher na mastaa wengine kutumbuiza kwenye show ya charity ya Tidal

Baada ya mtandao wa Tidal kufikisha zaidi ya watumiaji milioni moja, Jay Z aliahidi kusheherekea na sasa ametangaza shangwe hizo zitakuwa lini na wapi. Jay ametangaza show za charity za TIDAL X: 1020 ambapo kwa mara ya kwanza itafanyika Oct. 20 kwenye uwanja/ukumbi wa Barclays Center, Brooklyn. Pamoja na Jay Z mwenyewe, mastaa wengine watakaotumbuiza […]

 

9 years ago

BBC

Nicki Minaj urged to cancel Angola gig

Human Rights Foundation asks US singer Nicki Minaj to cancel her performance in Angola on Saturday, saying her payment would come from government corruption.

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video)

Rapper wa kike mrembo kabisa Nicki Minaj anakuwa mmoja ya mastaa wa Marekani na mastaa wakubwa Duniani waliogonga vichwa vya habari kwa kufanya show za nguvu kwenye nchi za Africa. Mzigo mzima wa Nicki Minaj ulikuwa ni Angola weekend iliyopita na hapa nina kipande cha video kuanzia Nicki anatua Airport, show yake kwenye stage, na […]

The post Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Meek Mill matatani, licha ya Nicki Minaj kumtetea Mahakama haijamuacha bure!

Mwaka huu wa 2015 hautoisha poa kwa rapper wa Maybach Music Group, Meek Mill kwani baada ya kusimama Mahakamani kwa zaidi ya wiki mbili inaonekana jitihada zake za kujitetea kwanini hajatii sheria za kifungo chake cha nje hazijairidhisha Mahakama ya Philadelphia. Jana rapper huyo alipanda kizimbani kujitetea kwa mara ya mwisho lakini baada ya saa […]

The post Meek Mill matatani, licha ya Nicki Minaj kumtetea Mahakama haijamuacha bure! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo5

Nyimbo 2 za Nicki Minaj zavuja siku chache kabla ya album yake kutoka, moja ni collabo yake na Beyonce (zisikilize)

Ikiwa ni siku 4 zimesalia kabla album ya Nicki Minaj iitwayo ‘The Pinkprint’ itoke, nyimbo mbili kutoka kwenye album hiyo zimevuja. Moja ya nyimbo hizo ni collabo yake na Beyonce ‘Feeling Myself’, wimbo ambao wote wawili wamezungumzia mafanikio yao. Wimbo mwingine uliovuja kutoka kwenye album hiyo ni ‘Get On Your Knees’ aliomshirikisha Ariana Grande. The […]

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj kutayarisha na kuonekana kwenye tamthilia ya maisha yake

Nicki Minaj anatarajiwa kuwa mtayarishaji mkuu wa tamthilia mpya kupitia ABC Family itakayoangaza maisha ya rapper huyo alivyokulia kwenye viunga vya Queens, New York. Mradi huo kutoka Kapital Entertainment, utatengeneza episode ya kwanza mwaka huu. Tamthilia hiyo inaandikwa na Kate Angelo (Sex Tape), na itaangaza maisha ya Minaj aliyekulia Queens miaka ya 1990 pamoja na […]

 

9 years ago

Bongo5

Taylor Swift aelezea fundisho alilopata kutokana na beef yake na Nicki Minaj

Taylor Swift amekiri kuwa kuna kitu amejifunza kutoka kwenye beef yake na Nicki Minaj. Mwimbaji huyo mwenye miaka 23 alipishana maneno na rapper Nicki Minaj kupitia Twitter miezi kadhaa iliyopita, kutokana na nominations za VMAs japo kuwa walishamaliza tofauti zao. Taylor amesema kitu kikubwa alichojifunza kutoka kwenye beef hiyo ni kuwa, atakuwa akitumia sms kuwasiliana […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani