Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nicki Minaj urged to cancel Angola gig

Human Rights Foundation asks US singer Nicki Minaj to cancel her performance in Angola on Saturday, saying her payment would come from government corruption.

BBC

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

Minaj performs controversial Angola gig

US rapper Nicki Minaj goes ahead with a concert in Angola despite a human rights group asking her to cancel it.

 

9 years ago

Bongo5

Wanaharakati wapinga show ya Nicki Minaj nchini Angola

Nicki-Minaj

Wanaharakati wa haki za binadamu wamepinga kufanyika kwa show ya Nicki Minaj nchini Angola.

Nicki-Minaj

Rapper huyo anatarajiwa kutumbuiza Jumamosi hii, December 19 kwenye party ya Christmas iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya Unitel, inayomilikiwa na familia ya rais wa nchi hiyo, José Eduardo dos Santos.

Rais huyo anadaiwa kujikusanyia mali nyingi za nchi hiyo hususan mafuta na almasi kwaajili ya familia yake.

Rais wa taasisi ya Human Rights Foundation, Thor Halvorssen, amemuomba Minaj kwenye barua...

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj kutumbuiza Angola licha ya wanaharakati kuipinga show yake

12327969_468705609983531_2040894811_n

Nicki Minaj atatumbuiza nchini Angola Jumamosi hii licha ya taasisi ya Human Rights Foundation kuipinga show hiyo.

12327969_468705609983531_2040894811_n

Minaj amethibitisha show hiyo kwenye Instagram.

“ANGOLA! R u ready for the show?!???! Can’t wait to see u guys! Get your tickets here,” ameandika rapper huyo wa YMCMB.

Baadaye rapper huyo aliandika kwenye Twitter:

“Every tongue that rises up against me in judgement shall be condemned.”

Minaj atatumbuiza kwenye party ya Christmas iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya Unitel,...

 

9 years ago

MillardAyo

Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?!

Msanii kutokea Marekani, Nicki Minaj jana aliziandika headlines kwenye kurasa za burudani baada ya taarifa kusambaa kuwa amepigwa stop kwenda kutoa show Angola jumamosi ya tarehe 19 December wiki hii, kutokana na Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Angola kupinga kufanyika kwa show hiyo. Wanaharakati hao walimuandikia Nicki Minaj barua kumuomba rapper huyo asitishe show […]

The post Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?! appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video)

Rapper wa kike mrembo kabisa Nicki Minaj anakuwa mmoja ya mastaa wa Marekani na mastaa wakubwa Duniani waliogonga vichwa vya habari kwa kufanya show za nguvu kwenye nchi za Africa. Mzigo mzima wa Nicki Minaj ulikuwa ni Angola weekend iliyopita na hapa nina kipande cha video kuanzia Nicki anatua Airport, show yake kwenye stage, na […]

The post Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nicky Minaj awatumbuiza raia wa Angola

Nicki Minaj aliwatumbuiza maelfu ya mashabiki katika mji mkuu wa Angola Luanda licha ya shinikizo kutoka kwa wanaharakati wa kupigania haki za kibinadamu asiandae tamasha hilo la Krismasi.

 

9 years ago

Mtanzania

SAMUELS AMCHOKOZA NICKI MINAJ

Nicki MinajNEW YORK, MAREKANI

MPENZI wa zamani wa Nick Minaj, Safaree Samuels, amemchokoza mrembo huyo kwa kudai kwamba amemsaidia
sana kuandika nyimbo kali ambazo zimempa jina.

Samuels amesisitiza kwamba bila yeye Nick asingefika alipo, kwani mafanikio ya msanii huyo yametokana na kumwandikia nyimbo kali kama ‘Only’ambayo alimshirikisha Chris Brown, Drake na Lil Wayne, ‘Flawless’ ambaye
alimshirikisha Beyonce na ‘Feeling Myself’ aliomshirikisha Bey.

“Kila wakati nilikuwa nakaa naye na kumwandikia...

 

10 years ago

GPL

NICKI MINAJ AACHIA ANACONDA

RAPPA, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mwigizaji kutoka Marekani aliye chini ya lebo ya Young Money Entertainment, Onika Tanya Maraj 'Nicki Minaj' leo ameachia rasmi video ya wimbo wake mpya uitwao ‘Anaconda’  baada ya kuufanyia promo ya kutosha katika mitandao mbalimbali.

 

10 years ago

GPL

NICKI MINAJ ATANGAZA NI MJAMZITO

Rapa wa kike aliyejizolea umaarufu kutoka lebo ya Cash Money, Nicki Minaj. Burgettstown, Pennsylvania RAPA wa kike aliyejizolea umaarufu kutoka lebo ya Cash Money, Nicki Minaj hivi karibuni ametangaza kuwa ni mjamzito. Nicki (32) aliweka wazi alipokuwa jukwaani katika tamasha kubwa lililojumuisha ziara yake ijulikanayo kama Pinkprint huko Pennsylvania ambapo alipanda na mchumba wake, Meek Mill na kusema;
“Piga kelele...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani